Nasumbuliwa na fangasi sehemu za siri, hamna dawa ambayo sijatumia

Nasumbuliwa na fangasi sehemu za siri, hamna dawa ambayo sijatumia

Hili ndo jibu la mgonjwa na atapona kwa asilimia zote sababu iliyosababisha kwangu fangasi ni hiyo namba moja nilikua navaa chupi mbichi nilikua naficha ndo imenifikisha hapa na nilikua na vaa chupi sio za coton huu ushauri nimeuchukua mimi nikipaka tubes napona kabisa ila boxer moja navaa mwezi ndo tatizo langu sio kama sina boxer nyingi ila uvivu wa kufua hope ntabadiri tabia
Watu wachafu kama nini
Boxer moja mwezi hufui una pepo?.
Afu ukute mtu anakuja anasema amezunguka hospitali zote hehe
Mtazunguka sana
 
Mkuu tatizo sio dawa tu Kuna maelekezo binafsi.kama Ni dawa ndugu yangu mbona NIMEANDIKA hapo juu.Chukua majani ya MUAROBAINI Pori Yatwange vizuri chuja maji yake changanya na Mafuta ya Nazi halisi,Alovera Utomvu Kisha pakaa sehemu iliyo athirika.Lakini Kuna maelekezo hata wewe nitakupa PM naogopa ban
Nisaidie mkuu hii inatuhusu wengi
 
Usafi wa nguo za ndani.
Kujikausha baada ya kuoga.
Kunyosha nguo na pasi.
Kama kuna mwenza naye afuate muongozo pamoja na mdau.
Wakati huo atumie dawa ulizo shauri.
Na kujikausha akimaliza kujisaidia

Unakuta mtu mchafuu htr afu anasema kazunguka hospital zote na dawa zote katumia
Lifestyle matters
 
Chukua vitunguu swaum menya punje sita kisha twanga.. alafu changanya kweny maji ya lita moja afu kunywa.. twice per day.. pia kams utaweza kuvumia paka ivo vitunguu ulivyotwanga kweny effected area.. one week unipe mrejesho
 
Oh no! Kitunguu swaum upake kwenye pumbu erosion, i see humpendi huyo unayemshauri! Mwambie ajirekodu video akigusa tu na kitunguu swaum chake kilichopondwa kwenye pumb[emoji23][emoji23][emoji23]!
Hii ipoje mkuu nilitaka kujaribu
 
Chukua vitunguu swaum menya punje sita kisha twanga.. alafu changanya kweny maji ya lita moja afu kunywa.. twice per day.. pia kams utaweza kuvumia paka ivo vitunguu ulivyotwanga kweny effected area.. one week unipe mrejesho
Weeee ataoza pyumbu usimtafutie ulemavu wa hiyo habari.
HIZI DAWA ZA KWENYE HU TUBE hizi mtaumiza watu bureeee
 
Back
Top Bottom