Nasumbuliwa na fangasi sehemu za siri, hamna dawa ambayo sijatumia

Vitunguu saumu na presha ya kushuka unakufa?
 
Dawa ya uhakika chemsha maji ya moto 100 degree Celsius hafu changanya na chumvi ambayo imeiva pamoja na maji, jikande, maumivu makali lakini utapona.
 
Fungus dawa yake ni ndogo sana chukua majani ya mpapai, unga wa tangawizi, kitunguu swaumu na pilipili manga changanya huo mchanganyiko na asali Kisha tumia limao kuupaka huo mchanganyiko mpaka uishe utaanza kuskia uke unavuta Kama ni uume utasimama Dede ukitoa mapovu kaa tena nusu saa Kisha chukua majani ya alovera pakaa ndo uume utalala Kama ni uke utaacha kuvuta. Usipopona utakuwa umelogwa kwa roho zako mbaya na chuki na wizi wa wake za watu kiazi ww
 
I can advice,

Jaribu dawa ya meno Whitedent Herbal. Ile ya kijani. Paka twice per day mpaka upne tatizo linapungua.

NB: kabla ya kupaka oga kwanza na ukauke.

I wish you quick recovery
Unaongea utopolo mtu
 
Dawa ya uwakika chemsha maji ya moto 100 degree Celsius hafu changanya na chumvi ambayo imeiva pamoja na maji, jikande, maumivu makali lakini utapona
Mkuu 100°C unataka aive Hadi nyama?????
 
Hutapata msaada kwa sababu hujasema ni dawa zipi umetumia ili sasa ushauriwe kutumia dawa zingine.

Lakini nina wasiwasi hiyo sio fungus.

1. Unawashwa muda wote tu, au muwasho unakuwa mkubwa usiku?

2. Sehemu unazowashwa, je kuna uvimbe unakuwa umejitokeza? Yaani viuvimbe vidogo vidogo?

3. Una muda gani na hili tatizo?

4. Je mwenza wako, ana shida kama ya kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…