Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Siku mbili wakati watu wanakimbiza wiki kipimo ni pua, isipotoa harufu kanyaga twende mpaka ivunjike kama kuniPole kwa maswahibu. Kama unahitaji dawa ya kienyeji, chukua punje 10 za kitunguu swaumu vitwangwe na weka chumvi kidogo na maji ya vuguvugu kijko kimoja au viwili. Changanya then kunywa kwa siku 5 asubuhi na jioni. Visipokauka uchawi upo.
Unaweza paka hiyo alovera wakati unatumia swaumu.
Pia uwe unabadili boxer. Mtu boxer moja siku 2 khaaa... Na ukilala achia mbupu hizo zipate hewa.
Tahadhari: Kama una presha ya kushuka usitumie vitunguu swaumu utakufa.
Nipe mrejesho next week 28/07/2021.
Suala la matibabu especially fungus Lina wigo mpana kwasababu unaweza andikiwa dawa na ukameza au kupaka na hauwezi kupona bila kugundua chanzo cha tatizo husika mfano.....Wakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa.
Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni kijiji gani ambako Ni kuna wataalamu wa Dawa za asili Nikiwapata hao Tatizo Langu Linaweza Likaisha maana hospital nimechemka.
Wakuu nasumbuliwa na Fangasi Sehemu za siri yaani ni muwasho Kukauka kwa ngozi ya Korodani, muwasho wa mapajani Yaani ni muwasho Usio wakawaida. Hamna dawa ambayo sijatumia kama ni hospital nishaenda zaidi ya Kumi tena Kubwa.
UmeuaFungus dawa yake ni ndogo sana chukua majani ya mpapai, unga wa tangawizi, kitunguu swaumu na pilipili manga changanya huo mchanganyiko na asali Kisha tumia limao kuupaka huo mchanganyiko mpaka uishe utaanza kuskia uke unavuta Kama ni uume utasimama Dede ukitoa mapovu kaa tena nusu saa Kisha chukua majani ya alovera pakaa ndo uume utalala Kama ni uke utaacha kuvuta. Usipopona utakuwa umelogwa kwa roho zako mbaya na chuki na wizi wa wake za watu kiazi ww
Achana nao hao hawana akiliHapana wapendwa ni FANGASI SUGU
Hakuna uhusiano wa ukimwi na Fungus, naumwa Fungusi pia nikitumia dawa napona nikiacha zinarudi na napima ukimwi kila siku nikila mbususu bila ndom na sina ukimwi hakuna uhusiano hata kidogo wa upuuzi mnaoandika.Hili nalo la msingi
Hili ndo jibu la mgonjwa na atapona kwa asilimia zote sababu iliyosababisha kwangu fangasi ni hiyo namba moja nilikuwa navaa chupi mbichi, nilikuwa naficha ndio imenifikisha hapa na nilikuwa navaa chupi sio za coton huu ushauri nimeuchukua mimi nikipaka tubes napona kabisa ila boxer moja navaa mwezi ndo tatizo langu sio kama sina boxer nyingi ila uvivu wa kufua hope nitabadili tabia.Suala la matibabu especially fungus Lina wigo mpana kwasababu unaweza andikiwa dawa na ukameza au kupaka na hauwezi kupona bila kugundua chanzo cha tatizo husika mfano.....
Unaweza kuwa unatumia dawa vizuri kabisa lakini still uko exposed kwenye mazingira yanayoleta tatizo mfano uvaaji wa nguo za ndani zenye lastick(mpira) ambazo mara nyingi zinazalisha joto na unyevu unyevu hivyo kupelekea ukuaji au muendelezo wa fungusi..... Uvaaji wa nguo za ndani mbichi, wale Wanaume wanaovaa nguo nane ndani ya suruali...., Usafi binafsi zero
Ili uweze kupona tatizo,
1. Epuka mazingira yote yanayofanya kujitokeza au kusababisha fungusi ( uvaaji wa nguo mbichi, nguo za mipira, kutokuwa nadhifu nikiwa na maana ya usafi binafsi)
2. Tumia nguo jamii ya cotton hasa za ndani, katika kipindi utakachokuwa kwenye matibabu inapofika wakati wa usiku epuka kuvaa nguo za ndani maana tunaamini usiku ni mrefu zaidi kuliko mchana hata namna ya uponyaji inakuwa iko haraka zaidi
3. Tafuta Whitefield paka mara mbili kwa siku na zingatia kila inapofika usiku hakikisha usivae manguo mengi hasa za ndani, pia tumia na fluconazole 100mg OD X14DAYS
Nakutakia uponyaji mwema
[emoji2398] Balvejmumt
Ukitaja jina la taasisi wanakulipa shilling ngapi?Dawa(vidonge) Vitakusaidia, nilikuwa na Tatizo kama hili, Nilienda Hospital ya St. BENEDICTO NDANDA HOSPITAL
Toa elimu hapa mbona mnapenda ubinafsi?wote wangemfata PM nani angejifunza? Kuna dawa nimenifunza kupitia michango ya watu ningepataje kama wote wange Mfuata PMMleta mada ingia pm yako nimekuelekwza dawa na jinsi ya kutumia
Usafi wa nguo za ndani.Acha makelele, kanunue hiyo dozi. Halafu fungus wako wanasababishwa na tabia yako ipi?
Mkuu tatizo sio dawa tu Kuna maelekezo binafsi.kama Ni dawa ndugu yangu mbona NIMEANDIKA hapo juu.Chukua majani ya MUAROBAINI Pori Yatwange vizuri chuja maji yake changanya na Mafuta ya Nazi halisi,Alovera Utomvu. Kisha pakaa sehemu iliyoathirika. Lakini Kuna maelekezo hata wewe nitakupa PM naogopa ban.Toa elimu hapa mbona mnapenda ubinafsi?wote wangemfata PM nani angejifunza? Kuna dawa nimenifunza kupitia michango ya watu ningepataje kama wote wange Mfuata PM
Na wewe ukikoment hapa unalipwa Tsh. Ngapi???Ukitaja jina la taasisi wanakulipa shilling ngapi?
Na me pia naomba un pm kiongoziMkuu tatizo sio dawa tu Kuna maelekezo binafsi.kama Ni dawa ndugu yangu mbona NIMEANDIKA hapo juu.Chukua majani ya MUAROBAINI Pori Yatwange vizuri chuja maji yake changanya na Mafuta ya Nazi halisi,Alovera Utomvu Kisha pakaa sehemu iliyo athirika.Lakini Kuna maelekezo hata wewe nitakupa PM naogopa ban
Ipo post ya nyuma yenye tittle ' ifahamu pumbu erosion' utapata msaada hapo! Pole!Wakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa.
Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni kijiji gani ambako Ni kuna wataalamu wa Dawa za asili Nikiwapata hao Tatizo Langu Linaweza Likaisha maana hospital nimechemka.
Wakuu nasumbuliwa na Fangasi Sehemu za siri yaani ni muwasho Kukauka kwa ngozi ya Korodani, muwasho wa mapajani Yaani ni muwasho Usio wakawaida. Hamna dawa ambayo sijatumia kama ni hospital nishaenda zaidi ya Kumi tena Kubwa.
Sawa Mkuu
No way, hiyo itabuma mkuu!Kunywa fluconazol na dawa ya kupaka hile scaboma
Routine yako ya usafi ikoje?Wakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa.
Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni kijiji gani ambako Ni kuna wataalamu wa Dawa za asili Nikiwapata hao Tatizo Langu Linaweza Likaisha maana hospital nimechemka.
Wakuu nasumbuliwa na Fangasi Sehemu za siri yaani ni muwasho Kukauka kwa ngozi ya Korodani, muwasho wa mapajani Yaani ni muwasho Usio wakawaida. Hamna dawa ambayo sijatumia kama ni hospital nishaenda zaidi ya Kumi tena Kubwa.
Pole kwa maswahibu. Kama unahitaji dawa ya kienyeji, chukua punje 10 za kitunguu swaumu vitwangwe na weka chumvi kidogo na maji ya vuguvugu kijko kimoja au viwili. Changanya then kunywa kwa siku 5 asubuhi na jioni. Visipokauka uchawi upo.
Unaweza paka hiyo alovera wakati unatumia swaumu.
Pia uwe unabadili boxer. Mtu boxer moja siku 2 khaaa... Na ukilala achia mbupu hizo zipate hewa.
Tahadhari: Kama una presha ya kushuka usitumie vitunguu swaumu utakufa.
Nipe mrejesho next week 28/07/2021.