Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
[emoji16][emoji16] yamenikuta sana tu mbonaHayajakukuta....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16] yamenikuta sana tu mbonaHayajakukuta....!
Uko affected kisaikolojia....sasa ninww kujichek upande upiWatu wanaongelea vitu kama vile wananifahamu humu.
Wanahisi kila mtu sijui ana shia humu! By the way kipato changu kinanitosha na nimejiajiri,
Hahahaha!...sio kwa level hiyo[emoji16][emoji16] yamenikuta sana tu mbona
Dada unanifahamu??? Mbona kama vile umekadhania hapo! Unajua hata kipato nachoingiza kwa siku ni dollar ngapi?Demi..ukiwa huna hela kuna mawazo meng sana yanakujia..unahis kila mtu adui yako...hakuna masuala ya kuingiliwa kinyume au nini! Ni vile unavyowaza
Jitahidi kusali kabla ya kulalaHabari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.
Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana ,asubuhi au usiku.
Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.
Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kma kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile..Inauma Sana!
Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watuimshi mbalimbali kuombewa.Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii,
Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe,
Inaweza ikawa sio tatizo la kiuchumi lkn una tatizo lingine kwenye ukoo wenu. Mambo ya kishirikina may be...fatiliaWatu wanaongelea vitu kama vile wananifahamu humu.
Wanahisi kila mtu sijui ana shia humu! By the way kipato changu kinanitosha na nimejiajiri,
LabdaHahahaha!...sio kwa level hiyo
Kaka nimesem hv..ww uko affected kisaikolojia.haijalishi ni hela au nin..relax mzeeDada unanifahamu??? Mbona kama vile umekadhania hapo! Unajua hata kipato nachoingiza kwa siku ni dollar ngapi?
Umenikumbusha jamaa yangu aliwahi kukumbwa na kitu cha aina nae ilikuwa zaidi maana muda wote anaweza kuingiliwa bila kujali yupo sehemu gani na mazingira yapi..Habari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.
Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana ,asubuhi au usiku.
Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.
Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kma kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile..Inauma Sana!
Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watuimshi mbalimbali kuombewa.Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii,
Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe,
Inaumiza sana kisaikolijia. Inatesa SANA!!!Umenikumbusha jamaa yangu aliwahi kukumbwa na kitu cha aina nae ilikuwa zaidi maana muda wote anaweza kuingiliwa bila kujali yupo sehemu gani na mazingira yapi..
Tushukuru Mungu baadae alipata suruhisho japo sijui aliponaje, alipitia kipindi kigumu sana chuo alisoma miaka saba badala ya minne..
Samahani kama umekwazikaOkay, Asante!