Nasumbuliwa na Jinamizi hili kila nikilala naomba Msaaada na Ushauri

Nasumbuliwa na Jinamizi hili kila nikilala naomba Msaaada na Ushauri

Habari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.
Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana ,asubuhi au usiku.
Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.

Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kma kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile..Inauma Sana!

Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watuimshi mbalimbali kuombewa.Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii,

Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe,

Edit Kutokana na Maoni na comments za wadau::>
Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo , zaidi ya mwaka wa Saba.
Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu.
Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu
Mtafute mchungaji katunzi eagt city center maombi ni bure anaitwa florian katunzi unaweza google ukampata nimempeleka mtu pale tena mwislam kapona sasa hv mambo kama hyo trust me nenda pale unapoma maombi bure kabisa tatizo lako.mwisho.pale nenda tu kwa maombi nakuhakikishia pale tatizo kwishaaa
 
Mtafute mchungaji katunzi eagt city center maombi ni bure anaitwa florian katunzi unaweza google ukampata nimempeleka mtu pale tena mwislam kapona sasa hv mambo kama hyo trust me nenda pale unapoma maombi bure kabisa tatizo lako.mwisho.pale nenda tu kwa maombi nakuhakikishia pale tatizo kwishaaa
Asante mkuu, Ilimchukua muda gani mpaka akapona? Thanks
 
Tafuta wanazuoni wakusomee kisomo na kukuombea dua.
 
Ushawahi kaa mbali na mkoa wako? Je hiyo hali ilikuwepo??.....kuna kipindi nilikuwa naota sana mama mtu mzima anakuja kunilazimisha nimlale.....iliikuwa kama series ya ndoto yani nikiwa ndotoni naota nipo ndotoni nimelala mara dirishani anapita ananitoa boxer anakaa kwajuu,......siku nyingine nilikuwa nakaza naona maana nikiwa maota anaingia dirishani nashtuka ghafla.....

ila hali ilipotea baada ya kujizatiti kiimani na kuwa nasali kwa dhati kabla sijalala na mchana pia.....

kuna kipindi nilikuwa naota hivo ila najikuta namfukuza huku namtoa kama mask maana sikuwahi muona usoni, hata siku niliyofanikiwa kufunua ni ghafla niliona tu kijitu kidogo kinatisha na nikapiga kelele sana.....

Jitahidi usali, kama ukiwa nje ya mkoa wako hupati shida jitajidi usali na kuweka good terms na watu mkuu, huwezi jua anaekufanyia hivyo anafanya hivyo kwasababu ulimkosea nini, sio watu wote ni wema....

Ndio wachungaji ni muhimu, ila kujiombea ni muhimu sana maana unainua nguvu zako za kiroho na roho mtakatifu anasimama nawewe, kwa maana wewe ndio utaswli jwa dhati ya moyoni kutokana na kucjoshwa huko na Mungu ni mwepesi wa kusikia tukielemewa.

Ngoja nicopy niweke hapa namna ya kusali alafu utaniambia what happens.
 
Tafuta makanisa ya kilokole ya kiukweli wakuombee,ikiwezekana mkabidhi Mungu kabisa maisha yako kisha funga na kuomba kwa kushirikiana na watumishi wa ukweli tuone kama yatarudi, nguvu za giza zote kiboko yake ni YESU pekee,pole sana.
Acha kumpoteza mwenzako, watumishi wa kweli wapo wapi ? Wengine si wale wanaodai kila cku wanafufua wafu halafu kwa mwendazake wakawa wamepiga mikausho kama hawafufui vile
 
Sasa mkuu akitumia dawa za usingizi si ndio anarahisisha zoezi...
Anaweza kupigwa hat trick kwa usiku mmoja!!.
Kuna jarida niliwah lisoma mwaka 2009! ...kwamba ukiishi room juu yenye ceilingboard yenye maramani huwa kuna ugonjwa unakupata...yaan ile mvua inanyesha inavujia inaacha ramani naskia inaweka fungus..hzo fungus zinaathiri sana akili..yaan naskia unakua unajihis kutengwa mikosi inakuandama ...hakikisha dari ni safi na hakuna mlundikano wa manguo room..!
 
Kuna nguvu katika toba, kukiri kosa ni nguvu kubwa sana, tunakosa uponyaji sababu ya kusahau kufanya toba kila tunaposali......hata kama unadhambi nyingi fanya toba maana hakuna mkalimifu na wote tumemkosea Mungu na tunamkosea Mungu kila siku kwa kujua au kutokujua....

Chukua karatasi andika jina la mhitaji na na hitaji lake na chini andika andiko utakalosimamia
Mfano

JOHN JOSEPH PETER
Nahitaji kupata familia bora
Ufunuo 12:11

kuna nguvu ya kuabudu na nguvu ya kusali ukiwa umepiga magoti, itapendeza mda huo uko pekeako bila makelele, chagua wimbo ufaao kuabudia mfano nilitumia sana Haufananishwi wa boaz danken na niguse wa praise worship (ukinigusa wewe nitakuwa salama)

Mimi nilifunga siku 3 tu na kusali saa 5 usiku.....hapo nikiwa sijawahi hata nena kwa lugha na matendo yangu hayakuwa mazuri kiasi cha kujivika wema...

muda wa kusali naweka wimbo wa Haufananishwi naanza kuabudu nikiwa nimepiga magoti, fatisha ule wimbo huku unajutia nafsi yako (makosa) ,ule wimbo unadakika 14 abudu dakika 7 au zaidi alafu anaza kutaja jina la Yesu kwa kusema "Asante Yesu" mara nyingi "Asante Yesu,Asante Yesu, Asante Yesu" kabla haujafika hata mara ya 15 kwa kuseka hivo utaona ulimi unakuwa mzito jitahidi uendelee kutaja hivyo hadi utakapo anza kunena kwa lugha.....

hakikisha karatasi umeiweka mbele yako ukiwa umepiga magoti, hata ukiishika sawa, ukianza sali kwa kunena kwa lugha unaweza simama huku unazunguka karatasi au huku umeishika karatasi kwamkono wa kushoto na mkono wa kulia unainenea mema na kuomba uponyaji.....

baada ya muda kunena kwa lugha kutapungua, pale anza kwa kuomba hivi

"asante bwana Yesu kwa upendo wako na hekima yako, asante kwa kunipa kibali kufika muda huu ingawa sistahili kuwepo mahala pako patakatifu,

bwana katika jina la Yesu kristo, naomba unipe uponyaji mimi mwanao mwenye dhambi, naomba uninenee mema na unitendee muujiza katika (taja shida na jina la mtu) kwani neno lako linasema katika ufunuo 12:11 "kuwa nao wakamshinda kwa damu ya mwanakondoo" nainyunyizia damu ya Yesu kristo wa nazaret mwanakondoo wako mpendwa juu ya (taja jina na shida) ikafanye muujiza nami nione matendo yako makuu na ya ajabu kama ulivyotuahidi kwtika yeremia 33:3, nikiomba na kushukuru huku nikirudisha sifa na ufae kwako yehova shama amen.....

NB: ukisali usiku kuanzia saa 5 unaweza pata hali ya tofauti kutokana na nguvu kinzani kutoka ufalme wa giza, (si ajabu mwili kukusisimka na kuhisi mtu anakushika au tu ukiwa unanena kwa lugha ukajikuta roho wa Mungu anakuambia simama hapa onesha mkono huku, karipia hiki etc) usiogope kwa maana imeandikwa vita vyetu mi vita vya roho na wala si mwili hivyo hautaona kitu cha kukutisha ila roho yako itapewa nguvu na ujasiri na roho mtakatifu atakuwa nawe hautadhurika na majibu utayapata kwa kuwa Mungu hachagui

Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu wabaya na wema, na kuwanyeshea mvua watu wanyofu na waovu. Mathayo 5:45
 
Habari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.
Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana ,asubuhi au usiku.
Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.

Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile..Inauma Sana!

Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa.Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.

Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.

Edit kutokana na maoni na comments za wadau::>
Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo , zaidi ya mwaka wa Saba.
Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu.
Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Ukiingiliwa kinyume cha maumbile unakuwa unajisikiaje?
 
Kuna nguvu katika toba, kukiri kosa ni nguvu kubwa sana, tunakosa uponyaji sababu ya kusahau kufanya toba kila tunaposali......hata kama unadhambi nyingi fanya toba maana hakuna mkalimifu na wote tumemkosea Mungu na tunamkosea Mungu kila siku kwa kujua au kutokujua....

Chukua karatasi andika jina la mhitaji na na hitaji lake na chini andika andiko utakalosimamia
Mfano

JOHN JOSEPH PETER
Nahitaji kupata familia bora
Ufunuo 12:11


NB: ukisali usiku kuanzia saa 5 unaweza pata hali ya tofauti kutokana na nguvu kinzani kutoka ufalme wa giza, (si ajabu mwili kukusisimka na kuhisi mtu anakushika au tu ukiwa unanena kwa lugha ukajikuta roho wa Mungu anakuambia simama hapa onesha mkono huku, karipia hiki etc) usiogope kwa maana imeandikwa vita vyetu mi vita vya roho na wala si mwili hivyo hautaona kitu cha kukutisha ila roho yako itapewa nguvu na ujasiri na roho mtakatifu atakuwa nawe hautadhurika na majibu utayapata kwa kuwa Mungu hachagui

Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu wabaya na wema, na kuwanyeshea mvua watu wanyofu na waovu. Mathayo 5:45
kuna sehemu niliandika hivo humu jf naona inaweza kukufaa pia....

Narudia tena jifunze kujisimamia....wewe unaweza kuwa na lengo na kujitoa katika hili ukajiweka safi na ukawa unastahili miujiza lakini ukaacha kusali ukamshirikisha Mchungaji labda ambae sio muadilifu mbele za Mungu mwisho utaona hupati muujiza wowote, jifunze kusali hivyo siku 3 tu utaona hali ya tofauti.
 
Unavyolala chali, regardless ni mchana au usiku halafu hali hiyo ikatokea ni jambo la kawaida, sayansi inaliezea vizuri tu, hata mimi limenitokea mara nyingi mno, mchana au usiku,

Hali yenyewe inajulikana kama "sleep paralysis", kuna aina mbili ya sleep paralysis, moja ni wakati umeingia kulala, kabla hujasinzia kabisa, nyingine ni kabla hujaamka, Sababu hasa ni nini?

Kulala kuna stage mbalimbali, ukiwa kwenye stage moja inayojulikana kama Rapid Eye Movement (REM), ubongo unazima signal kwenda kwenye misuli ili ukiwa ndotoni usijitingishe sana, sasa ikitokea ukaamka ghafla wakati bado upo kwenye REM stage, lazima u-experience hili tatizo sababu bado ubongo haujaamua kucontrol misuli ya mwili, Ukiwa kwenye hii stage, tulia tu usikilizie ndani ya sekunde chache ubongo utajishtukia kua kuna kitu hakiposawa na control itarudi kama kawaida,

Na haihitaji hata kumuona daktari wala kuondoa sijui mapepo, ni jambo la kawaida sana lisilo na hatari yoyote.

Hiyo pekee ndiyo sababu, imehakikiwa mara nyingi tu kwenye experiments na mjadala ukafungwa,

Anayesema jinamizi muulize kama alishawahi kuliona umkamate uongo, ataanza kutapatapa.
 
Dawa yao hao si kwa waganga wala kwa nani, vuta sigara kubwa tu kama utawaona au kuhisi mambo ya ajabu ajabu wakati umelala.
 
Unavyolala chali, regardless ni mchana au usiku halafu hali hiyo ikatokea ni jambo la kawaida, sayansi inaliezea vizuri tu, hata mimi limenitokea mara nyingi mno, mchana au usiku,

Hali yenyewe inajulikana kama "sleep paralysis", kuna aina mbili ya sleep paralysis, moja ni wakati umeingia kulala, kabla hujasinzia kabisa, nyingine ni kabla hujaamka, Sababu hasa ni nini?

Kulala kuna stage mbalimbali, ukiwa kwenye stage moja inayojulikana kama Rapid Eye Movement (REM), ubongo unazima signal kwenda kwenye misuli ili ukiwa ndotoni usijitingishe sana, sasa ikitokea ukaamka ghafla wakati bado upo kwenye REM stage, lazima u-experience hili tatizo sababu bado ubongo haujaamua kucontrol misuli ya mwili, Ukiwa kwenye hii stage, tulia tu usikilizie ndani ya sekunde chache ubongo utajishtukia kua kuna kitu hakiposawa na control itarudi kama kawaida,

Na haihitaji hata kumuona daktari wala kuondoa sijui mapepo, ni jambo la kawaida sana lisilo na hatari yoyote.

Hiyo pekee ndiyo sababu, imehakikiwa mara nyingi tu kwenye experiments na mjadala ukafungwa,

Anayesema jinamizi muulize kama alishawahi kuliona umkamate uongo, ataanza kutapatapa.
Bora wewe umeliezea kisanyansi..mie zaman nilikua nikilala mchana naota baba amekufa..au mwanangu kaungua moto kafa..! Nikamfata dk akaniambia nna stress..its true nilikua nazo..ss hv sijalala.mchana muda mrefu...sijajua kama bado majinamizi hayo yananipata...bt its starts from brain
 
Daaaaa pole Sana mkuu. Hi inshu imewahi kumkuta jamaa ang flan iv, asikwambie hii situation ni mbaya Sana wakuu. Huyu jamaa mpka ilifikia time akawa halali kabisaa, alikuwa anasikia sauti kabisa tena za watu wake wa karibu zinasema " jamaa ndo analala hivyoo" . Akpitiwa na usingizi tuu bas jamaa anakuta tayar keshaliwa mzgo. Aliniambia ck moja alitaka kujiua kwa kunywa vidonge vingi Sana vya maumivu, bas akaenda kugonga mlango kwa mama akasingizia kuwa anaumwa. Mama akampa vidonge viwil jamaa akaomba aongezewe vidonge vingne, mama akampa vidonge sita na ndani kwake alikuwa anavyo vingne 4 so jumla vikawa 10. Bas jamaa anadai wakat anataka kunywa vidonge akasikia saut za hao jamaa wanasemezana, " jamaa anataka kujiua aisee ila ana dawa chache haziwez kumuua kabisa". Jamaa akawa anawaza kwenda duka la dawa kwenda kununua zingne bahat nzur ilikuwa uck Sana. Bas huyuu jamaaa tukampeleka kw shekhe flan akafanyiwa dawa ambazo sizikumbuk kabisa majina angalau jamaa akakaa sawa. Na pia alikuwa anaenda kweny maombi Sana. Wakuu hi hali ni mbaya Sana iwe asubuh, mchana, jion, uck akipitiwa na usingizi bas anakuta hali tayarii
 
Pole sana mkuu, kila mtu ana hofu na kitu fulani,may be nyoka, etc inaelekea your worst fear ni kuingiliwa kinyume na maumbile..hizi anxious thoughts ndio zina play up with your mind.

sijajua kwa nini una mawazo hayo,je ushawahi kubakwa? kushuhudia mtu( mwanaume akibakwa?) au ni story tu za kuingiliwa kinyume na maumbile umeziamini kwa kuwa zimekuwa reinforced kwenye brain yako mara kwa mara mpaka umefikia kuziamini?

Kama walivyotangulia kukwambia fanya mazoezi to improve quality of sleep au tumia dawa za usingizi kwa kipindi ...ukilala vizuri bila kuwa na hizo ndoto itakujengea confidence kuwa hamna kitu kama jinamizi, and slowly with time hii confidence ndio itaendelea kupunguza mawazo na imani juu ya jinamizi....again pole sana mkuu
 
Habari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.
Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana ,asubuhi au usiku...
Nenda kwa Mwamposa ukaombewe
 
Back
Top Bottom