Nasumbuliwa na Jinamizi hili kila nikilala naomba Msaaada na Ushauri

Nasumbuliwa na Jinamizi hili kila nikilala naomba Msaaada na Ushauri

Pole sana mkuu,kila mtu ana hofu na kitu fulani,may be nyoka,etc inaelekea your worst fear ni kuingiliwa kinyume na maumbile..hizi anxious thoughts ndio zina play up with your mind..sijajua kwa nini una mawazo hayo,je ushawahi kubakwa? kushuhudia mtu( mwanaume akibakwa?) au ni story tu za kuingiliwa kinyume na maumbile umeziamini kwa kuwa zimekuwa reinforced kwenye brain yako mara kwa mara mpaka umefikia kuziamini?.... kama walivyotangulia kukwambia fanya mazoezi to improve quality of sleep au tumia dawa za usingizi kwa kipindi ...ukilala vizuri bila kuwa na hizo ndoto itakujengea confidence kuwa hamna kitu kama jinamizi, and slowly with time hii confidence ndio itaendelea kupunguza mawazo na imani juu ya jinamizi....again pole sana mkuu
Watu smart utawajua tu........ This is a smart comment. Umeelezea vema sana. Exactly nilichomwambia chini kule.....

Aidha anafikra za hofu ya kuingiliwa kinyume na maumbile akili yake inakuwa inamvuta kuwa ajaribu na nafsi yake haitaki, au basi inawezekana kuna tukio au matukio yalimkuta utotoni na yaliregister kichwani mwake kama kumbukumbu ya utotoni.
Na sasa hiyo kumbukumbu inamrejea na yeye kichwa kinakazana kumuuliza kuwa anakumbuka tukio fulani la utotoni sasa nafsi inakataa kushiriki ndio maana akili inamkazia inamletea katika sura ya illusion.
 
Asante mkuu. Hii kitu sio kama ndoto,Nadhani umenielewa vizuri.
Wait..... So inapokukuta unakuwa upo macho au katika hali ya usingizini.

Yaani unaweza kaa sebuleni ukashangaa mkono wa njemba unakupapasa, mara kidogo busu..... Hivyo au?!
 
Habari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.
Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana ,asubuhi au usiku.
Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.

Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile..Inauma Sana!

Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa.Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.

Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.

Edit kutokana na maoni na comments za wadau::>
Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo , zaidi ya mwaka wa Saba.
Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu.
Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Cha kufanya mwamini Yesu 100% Yesu akiingia ndani ya moyo wako shetani /pepo mchafu hawezi kaa ndani yako.Utaacha dhambi zote maombezi bila kumwamini Yesu na kuacha dhambi ni bure.kuwa mtu wa haki utaona na pia tafuta mahali sahihi pa kupata neno la Mungu yani kanisa la walokole kweli kweli wapo sio kwa wasanii
 
Watu smart utawajua tu........ This is a smart comment. Umeelezea vema sana. Exactly nilichomwambia chini kule.....

Aidha anafikra za hofu ya kuingiliwa kinyume na maumbile akili yake inakuwa inamvuta kuwa ajaribu na nafsi yake haitaki, au basi inawezekana kuna tukio au matukio yalimkuta utotoni na yaliregister kichwani mwake kama kumbukumbu ya utotoni.
Na sasa hiyo kumbukumbu inamrejea na yeye kichwa kinakazana kumuuliza kuwa anakumbuka tukio fulani la utotoni sasa nafsi inakataa kushiriki ndio maana akili inamkazia inamletea katika sura ya illusion.
Sahihi kabisa,ndoto ni reflection ya kile mtu akiwazacho au alichokiona.
 
Daaaaa pole Sana mkuu. Hi inshu imewahi kumkuta jamaa ang flan iv, asikwambie hii situation ni mbaya Sana wakuu. Huyu jamaa mpka ilifikia time akawa halali kabisaa, alikuwa anasikia sauti kabisa tena za watu wake wa karibu zinasema " jamaa ndo analala hivyoo" . Akpitiwa na usingizi tuu bas jamaa anakuta tayar keshaliwa mzgo. Aliniambia ck moja alitaka kujiua kwa kunywa vidonge vingi Sana vya maumivu, bas akaenda kugonga mlango kwa mama akasingizia kuwa anaumwa. Mama akampa vidonge viwil jamaa akaomba aongezewe vidonge vingne, mama akampa vidonge sita na ndani kwake alikuwa anavyo vingne 4 so jumla vikawa 10. Bas jamaa anadai wakat anataka kunywa vidonge akasikia saut za hao jamaa wanasemezana, " jamaa anataka kujiua aisee ila ana dawa chache haziwez kumuua kabisa". Jamaa akawa anawaza kwenda duka la dawa kwenda kununua zingne bahat nzur ilikuwa uck Sana. Bas huyuu jamaaa tukampeleka kw shekhe flan akafanyiwa dawa ambazo sizikumbuk kabisa majina angalau jamaa akakaa sawa. Na pia alikuwa anaenda kweny maombi Sana. Wakuu hi hali ni mbaya Sana iwe asubuh, mchana, jion, uck akipitiwa na usingizi bas anakuta hali tayarii
Dah! Poleni...
 
Ni popobawa wasumbufu tu ndugu yangu ogea maji chumvi. Yaani unavyoenda kuoga weka chumvi kwenye maji hasa ila chumvi ya mabonge, na ikiwezekana kitandani weka punje kadhaa za hiyo chumvi
 
Itoshe tu kusema Pole..Mungu akusaidie ndugu yangu kama haya ulioandika ni kweli.
Just ignore hawa wajuaji wataalam hewa wa saikolojia wanaoku judge.Possibly wanateseka na mengi vichwan mwao.

Ukiamua kwa dhat kabisaa ya moyo kumkabidhi Mungu maisha yaki, kumtafuta kwa kufunga na kuomba na kujifunza maandiko, trust me that situation will be resolved.Mungu akuepushe na hawa makanjanja wa kiroho maana hawana la kukusaidia..amua mwenyewe kwanza.
 
Ungekuwa Muisilam ningekushauru kabla ya kulala uchukue udhu yaani utawadhe then ungeswali laka 2 ulale,hapo unakumbatiwa na Maraika mpaka asubuhi,nani atakugusa
 
Nimejitahidi sana kwenda mkuu. Inaniumiza sana kwa kweli,
Yesu ni jibu tosha na hajawahi na hatashindwa kamwe.

Imani yako ikoje unapokuwa huko kwa hao wanaokuombea?

Mi hili jinamizi lilishawahi kumtokea mke wangu likimshawishi afanye nami mapenzi kinyume na maumbile zaidi ya mara tatu kwa wiki moja, lakini nilifunga na kumsihi Mungu anitetee katika hilo jaribu.

Nilitofautiana na Mke wangu na nilijaribu kumsihi zaidi kwa upole aache hakunielewa hadi nilimkasirikia kiasi isingekuwa kumwomba Mungu ndoa ingeshavunjika mapema tu.

Nilimpeleka Mke wangu kwa madaktari wawili tofauti akapimwe nikitaka kujua ni kweli alishaanza kufanya huo uchafu kwa kushawishiwa na rafiki zake wa kike au labda alinisaliti kimahusiano na Me mwingine.

Hatimaye niligundua ni pepo tu na nililiteketeza vibaya sana kwa maombi na imani thabiti kupitia jina la Yesu nilisha hiuo vita.
 
Nimejitahidi sana kwenda mkuu. Inaniumiza sana kwa kweli,
Ushuhuda mwingine;

Kuna Jamaa mmoja tulitofautana naye kijiweni tukicheza drafti na alinitishia nitakiona cha moto ili no ijue yeye ni mbabe kuliko mimi baada ya kutaka kupigana na mimi pale pale lakini alichemka.

Usiku wa siku hiyo hiyo Jamaa alinijia kimabavu katika ndoto akinilazimisha kunilawiti lakini nilikataa kwa nguvu zote kwa kukemea kwa jina lake Yesu.

Ilinigharimu zaidi ya dakika 1 kukataa kulawitiwa sababu alinijia kishirikina ndotoni lakini YESU ni kiboko ya hizo nguvu za giza maana nilimshinda na niliamka nikasali zaidi ya nusu saa nikimsihi Mungu akiruhusu hilo jaribu kunishinda litaniharibia hadhi yangu ya kiume na hiyo laana itaathiri hata kizazi cha watoto wangu, wajukuu, vitukuu n.k.

Yesu alinishindia hilo jaribu na sijawahi tena kutokewa na pepo kama hilo.
 
Habari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28..

Mkuu pole na hizo changamoto.

Kuna njia mbili zote zitakusaidia najua Utakuja kureta Mrejeshoo...#save the date.

1.Boniface mwamposa, kama upo dar es salaam jongea pale kawe Utakuja kunisimulia naomba ni ishie hapo.

2.kama hauwezi kupata access ya namba Moja hapo juu..Nikushauri hakikisha KILA unapo kua UWE NA MFUPA WA NGURUWE
na maanisha shonea kwenye boksa zako zote kipande Cha MFUPA wa NGURUWE
Then naomba uje uturudishie mrejesho.

Shukrani
 
Pole sana mkuu kwa changamoto hiyo nzito, kama huko nyuma kuna namna ulifanya matukio yasiyo sawa jaribu kufanya toba Mungu ni mwaminifu na wa haki atakusamehe kama ulimfanyia mtu kaombe msamaha pia, lakini la pili kabla ya kulala omba ulinzi wa Mungu maana duniani hapa mambo ni mengi ni ulinzi wa Mungu pekee ndiyo msaada kisha soma zaburi sura ya 4, 5, na 6 omba tena hizo ahadi Mungu azitimize kwako then chapa usingizi hutaona hayo mambo tena.
 
Aiseh!! yanataka kula kwa nguvu hata mchana jombaa unahitaji maombi sana
 
Tatizo lako ni dogo.. usilale ukiwa unaangalia juu.. lala kifudifudi au ubavu ubavu.. ukiota tena majinamizi utaniambia
 
Back
Top Bottom