Nasumbuliwa na Jinamizi hili kila nikilala naomba Msaaada na Ushauri

Nasumbuliwa na Jinamizi hili kila nikilala naomba Msaaada na Ushauri

Pole sana mkuu,kila mtu ana hofu na kitu fulani,may be nyoka,etc inaelekea your worst fear ni kuingiliwa kinyume na maumbile..hizi anxious thoughts ndio zina play up with your mind...
Asante mkuu. Hii kitu sio kama ndoto,Nadhani umenielewa vizuri.
 
Ushawahi kaa mbali na mkoa wako? Je hiyo hali ilikuwepo? kuna kipindi nilikuwa naota sana mama mtu mzima anakuja kunilazimisha nimlale.....iliikuwa kama series ya ndoto yani nikiwa ndotoni naota nipo ndotoni nimelala mara dirishani anapita ananitoa boxer anakaa kwajuu,......siku nyingine nilikuwa nakaza naona maana nikiwa maota anaingia dirishani nashtuka ghafla...
Nimeishi mikoa zaidi ya mitano na hii hali haiindoki. Hata nikilala Hotelini. Imagine hata nikiwa nimelala na girlfriend!!!
 
Unavyolala chali, regardless ni mchana au usiku halafu hali hiyo ikatokea ni jambo la kawaida, sayansi inaliezea vizuri tu, hata mimi limenitokea mara nyingi mno, mchana au usiku...
Nishasikia nadharia hii. Kwa sie ambao tushaishi vijijini hili tunalielewa vizuri uchawi upo na vijana wengi tu wanashiliki huu upuuzi. Huwa ni mwanzo mtu anatamanishwa kuingia ktk uchawi kupitia mapenzi so km ni kijiji atakimaliza, sasa ikitokea amehamia mjini na kukutana na wewe imani dhaifu kazi utakua nayo.

Kwa wala gomba, mtungi wa kili siku ikitokea hujapata lazima uhisi hii hali.

Jamaa asijidhuru ni janga la kitaifa hili sema wengi hùficha.

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Unavyolala chali, regardless ni mchana au usiku halafu hali hiyo ikatokea ni jambo la kawaida, sayansi inaliezea vizuri tu, hata mimi limenitokea mara nyingi mno, mchana au usiku...
Hiyo hali ndio ikufanye kuhisi unatinduliwa?
 
Mshana Jr oya we msela wa zamani, njoo utoe utatuzi kuna mtu analiwa kinyeo huku usingizini, msaidie asije akanogewa akaanza kugawa mwenyewe macho makavu.
 
Habari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.
Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana ,asubuhi au usiku.
Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.

Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile..Inauma Sana!

Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa.Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.

Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.

Edit kutokana na maoni na comments za wadau::>
Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo , zaidi ya mwaka wa Saba.
Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu.
Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Lala na bible
 
Hiyo hali ndio ikufanye kuhisi unatinduliwa?
Mkuu,hiyo hali haihusiani na hilo jambo ulilolitaja,

Unajua ndoto ni reflection ya kile mtu akiwazacho au ambacho hukiona mara kwa mara mpaka kitu hicho kikawa recorded na his brain,

Jibu langu halikuhusiana na ndoto coz hilo analodai mleta mada kua ni Jinamizi sio jinamizi kama anavyoamini.
 
Sasa mimi sijaelewa hebu nifafanulie. Yaani kuna njemba ina ndevu unaisikia inakupumulia kisogoni au huwa inakuwaje?!

Maana isije ikawa ni mkeo anakukumbatia usiku ila wewe kwenye ndoto unapata hisia umekumbatiwa na mwanaume mwenzako.

Ila swali la msingi zaidi, mimi siamini sana katika maswala ya ushirikina au popo bawa stuffs..... Upande wa pili naamini ni illusions tu zinakuwa zimetawala kichwa chako. Na illusions ni matokeo ya fikra iliyopo ndani ya subconscious yako.

Sasa swali ni kwamba je, wewe fikra za kubambiwa au hiyo nightmare ya kubambiwa inatokana na tukio gani katika maisha yako kihistoria?!

Its probably one of your personal wars unazopigana ndani ya nafsi.

Hakuna historia ya mtu mzima wakati wa utoto wako kutaka kukufanyia molestation ukiwa mdogo na sasa ile worst memory inakurejea?!

Sababu kuna watoto unakuta chini ya umri wa miaka 10 kuna ndugu bazazi alikuwa akilala nae usiku alikuwa anamchezea sehemu za siri au kumfanyia vitendo vya kingono, kwa mtoto hayo mambo kama aidha alihisi au aligundua anafanyiwa ila sababu ya utoto alishindwa kuelewa nini kinaendelea then akiwa mkubwa ile fikra au kumbukumbu ya lile tukio huwa inakuja tena na kutaka kufanyiwa clarification yaani ufafanuzi wa nini kilikuwa kinatokea na iwe fikra mtambuka na sio fikra tu isiyo na maana.


Hebu jaribu kukumbuka, enzi za utoto wako, someone hakukuwahi kukufanyia vitendo vyenye sexual intent ndani yake?! Jaribu kukumbuka ndugu, jamaa, rafiki yaani mtu yoyote wa utotoni ambaye kwasasa ukikumbuka tukio mojawapo unashindwa kuelewa lilikuwa ni tukio la aina gani ila kwako kwa sasa ni tukio la mashaka sana.

Hebu kumbuka, jaribu sana kukiuliza kichwa chako kinakukumbusha nini kilichowahi kukukuta.
 
Back
Top Bottom