Sasa hao malaika wakiwa midume balaa si ndo litaongezeka..... Nao wanaweza wakakolea wakataka mzigo.....Ungekuwa Muisilam ningekushauru kabla ya kulala uchukue udhu yaani utawadhe then ungeswali laka 2 ulale,hapo unakumbatiwa na Maraika mpaka asubuhi,nani atakugusa
Jinamizi sio uchawi.Habari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.
Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana ,asubuhi au usiku.
Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.
Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile..Inauma Sana!
Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa.Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.
Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.
Edit kutokana na maoni na comments za wadau::>
Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo , zaidi ya mwaka wa Saba.
Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu.
Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Alidanganywa na Ndugai, akamshirikisha kwenye ushirikina wakehuko kwa waganga ndiyo umeenda kuharibu kabisa
Habari za Jioni wakuu! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana, asubuhi au usiku. Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia. Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile. Inauma sana! Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa. Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi. Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii. Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe. Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo, zaidi ya mwaka wa Saba. Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu. Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Habari za Jioni wakuu! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana, asubuhi au usiku. Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia. Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile. Inauma sana! Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa. Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi. Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii. Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe. Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo, zaidi ya mwaka wa Saba. Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu. Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Habari za Jioni wakuu! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana, asubuhi au usiku. Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia. Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile. Inauma sana! Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa. Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi. Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii. Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe. Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo, zaidi ya mwaka wa Saba. Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu. Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Pole sana kwa tatizo hilo, mimi pia ninalo kwa mda mrefu sana, najua kwa.sehemu kubwa linahusu ushirikina. Wachawi wanapenda kuchezea roho na akili za watu wasio na hatia.Habari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana, asubuhi au usiku. Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.
Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile. Inauma sana!
Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa. Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.
Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.
Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo, zaidi ya mwaka wa Saba. Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu. Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Hujawahi kutafuta pesa za majini, hujawahi kukuacha mwanamke akakuambia atakuonyesha? Inakuwaje unalala mchana mpaka unaotaHabari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana, asubuhi au usiku. Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.
Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile. Inauma sana!
Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa. Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.
Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.
Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo, zaidi ya mwaka wa Saba. Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu. Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Mkuu njoo pm, tafadhaliHabari za Jioni wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana, asubuhi au usiku. Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.
Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile. Inauma sana!
Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa. Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.
Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.
Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo, zaidi ya mwaka wa Saba. Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu. Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Nakupendeaga hapo,mstaarabu sana wewe mkuuSamahani kama umekwazika
Me nakushauri ufanye toba ya kweli, Mungu akutakase halafu Sasa ufanye maombi ya kukataa hayo majini mahaba ikiwezekana funga kabisa mlilie Mungu atakusikie hiyo hali haitokurudia tena.Nimejitahidi sana kwenda mkuu. Inaniumiza sana kwa kweli,
Asante kwa taarifa na ushuhuda mkuu. Sikujua hivi visa vya kishetani vinawakuta wengi! ThanksPole sana mwanajamii mwenzetu kwa changamoto inayokukuta. Hili tatizo wengi limewakuta, kuna jamaa yangu kipindi tupo JKT hali hii ilikuwa ikimtokea mara kwa mara, kwa kweli alikuwa ni mtu mwenye mawazo muda wote. Ila nakumbuka alishauriwa aogee maji ya chumvi ya mawe. Pia Kuna mtu alimshauri akiwa anaenda kulala ajipake unga wa mkaa katikati ya makalio. Nafikiri njia hizi zilimsaidia kwani hakulalamika tena na hadi sasa hivi anadunda.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sijawahi kuishi mazingira ya kufanyiwa molestation . Nimekuwa katika mazingira yenye afya ya kiume na hali hiyo sijawahi kukumbana.Hakuna historia ya mtu mzima wakati wa utoto wako kutaka kukufanyia molestation ukiwa mdogo na sasa ile worst memory inakurejea?!
Sababu kuna watoto unakuta chini ya umri wa miaka 10 kuna ndugu bazazi alikuwa akilala nae usiku alikuwa anamchezea sehemu za siri au kumfanyia vitendo vya kingono, kwa mtoto hayo mambo kama aidha alihisi au aligundua anafanyiwa ila sababu ya utoto alishindwa kuelewa nini kinaendelea then akiwa mkubwa ile fikra au kumbukumbu ya lile tukio huwa inakuja tena na kutaka kufanyiwa clarification yaani ufafanuzi wa nini kilikuwa kinatokea na iwe fikra mtambuka na sio fikra tu isiyo na maana.
Hebu jaribu kukumbuka, enzi za utoto wako, someone hakukuwahi kukufanyia vitendo vyenye sexual intent ndani yake?! Jaribu kukumbuka ndugu, jamaa, rafiki yaani mtu yoyote wa utotoni ambaye kwasasa ukikumbuka tukio mojawapo unashindwa kuelewa lilikuwa ni tukio la aina gani ila kwako kwa sasa ni tukio la mashaka sana.
Hebu kumbuka, jaribu sana kukiuliza kichwa chako kinakukumbusha nini kilichowahi kukukuta.