Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Mkuu haujaelewaa hoja yake? Anamaanisha kwamba Raisi atakuwa SAMIA (mwanamke),baada ya Mungu kutovumilia ushenzi wa huyu aliepo Sasa( Sasa sijui akiongea nae[emoji848]).Bawacha hawana hoja ya msingi, ukute yeye ndo atatangulia [emoji23][emoji23]
[emoji848]
 
Back
Top Bottom