Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mimi ukiniuliza kwa nini nilicoment hivyo Nov.29, 2020 siwezi kueleza what exactly was in my head.Huyu jamaa aliona nini sjui?
Watu Wana mambo,hii ndio deep state
Mkuu mungu akulinde.
Watu wana siri mdau...Uliona nini?
Yametokea Kuna watu Wana mungu.ameniNahifadhi hii comment.
Huyo mwenyewe unaweza kuta ni usalama maana si kwa kujua ya mbeleni ivyo...Usalama sijui watu kama hawa hawajishughulishi nao kwann
Ndio maana sijutii kujiunga na JF.viva JF.
Noma sana.yame timia.
Usalama sijui watu kama hawa hawajishughulishi nao kwann
Duu mdau ulikuwa kama Musa kule kwa PharaohHata Mimi ukiniuliza kwa nini nilicoment hivyo Nov.29, 2020 siwezi kueleza what exactly was in my head.
Kweli aisee. Huyu itakuwa member wa deep stateWatu Wana mambo,hii ndio deep state
[emoji848]Mkuu haujaelewaa hoja yake? Anamaanisha kwamba Raisi atakuwa SAMIA (mwanamke),baada ya Mungu kutovumilia ushenzi wa huyu aliepo Sasa( Sasa sijui akiongea nae[emoji848]).Bawacha hawana hoja ya msingi, ukute yeye ndo atatangulia [emoji23][emoji23]
We jamaa wewe 😃