Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Mmemlaumu marehemu kwamba atajiongezea muda wa urais mwaka 2025.

Wakati amefariki 2021.

Ndiyo maana nikasema kumlaumu mtu leo kwa makosa atakayofanya mwaka 2025 ni ujinga.

Halafu niliwahi kuhoji, hiyo 2025 mnajuaje atafika?
Hoja ya kujiongeza muda ilikuwepo na ilikuwa inabebwa na wanaCCM wachache ambao walikuwa karibu na mwendazake.

Suala la mwendazake kusema mara kadhaa kuwa hatoongeza hata sekunde moja sio hoja kwa maana hata Kagame aliwahi kukataa kujiongeza muda mara kadhaa tena kwenye media coverage ila baadae akabadilika na kudai kuwa Warwanda wamemlazimisha.

Hilo la kusema kuwa hata wewe uliwahi kuhoji kama mwendazake angefika 2025 sasa hilo ndio Wananchi wengi wapenda Nchi walidhani ndio silaha pekee ya kututoa kwenye hilo jaribio.

Ila amini kabisa suala la kuondoa ukomo lilikuwa kwenye maandalizi kimya kimya.
 
Hoja ya kujiongeza muda ilikuwepo na ilikuwa inabebwa na wanaCCM wachache ambao walikuwa karibu na mwendazake.

Suala la mwendazake kusema mara kadhaa kuwa hatoongeza hata sekunde moja sio hoja kwa maana hata Kagame aliwahi kukataa kujiongeza muda mara kadhaa tena kwenye media coverage ila baadae akabadilika na kudai kuwa Warwanda wamemlazimisha.

Hilo la kusema kuwa hata wewe uliwahi kuhoji kama mwendazake angefika 2025 sasa hilo ndio Wananchi wengi wapenda Nchi walidhani ndio silaha pekee ya kututoa kwenye hilo jaribio.

Ila amini kabisa suala la kuondoa ukomo lilikuwa kwenye maandalizi kimya kimya.
Liendelee kwa mama atawale milele nae si mccm
 
Hoja ya kujiongeza muda ilikuwepo na ilikuwa inabebwa na wanaCCM wachache ambao walikuwa karibu na mwendazake.

Suala la mwendazake kusema mara kadhaa kuwa hatoongeza hata sekunde moja sio hoja kwa maana hata Kagame aliwahi kukataa kujiongeza muda mara kadhaa tena kwenye media coverage ila baadae akabadilika na kudai kuwa Warwanda wamemlazimisha.

Hilo la kusema kuwa hata wewe uliwahi kuhoji kama mwendazake angefika 2025 sasa hilo ndio Wananchi wengi wapenda Nchi walidhani ndio silaha pekee ya kututoa kwenye hilo jaribio.

Ila amini kabisa suala la kuondoa ukomo lilikuwa kwenye maandalizi kimya kimya.
Kiranga anaijua vizuri nchi hii na sarakasi zake. Watu humu JF wamesema mara nyingi kwamba Magufuli ana mpango wa kupageuza Geita kuwa makao makuu ya mkoa. Wakasema atamega wilaya 2/3 toka Mikoa ya Kagera na Geita ili kukamailisha lengo lake lakini CCM maalahi waliomo humu walitaka kupiga watu ngumi. Jana Mzee Samwel Bigambo alipoliibua wakabaki midomo wazi.
 
Kwanza kabisa, niseme mimi si mtetezi wa Magufuli wala CCM. Ni mtetezi wa haki na mchambuzi wa siasa na mantiki.

Magufuli nishamsema sana, hivyo, ninachoandika hapa si kwa sababu ya kumtetea Magufuli.

Twende kwenye hoja baada ya dibaji hiyo.

Magufuli ameshasema mara kadhaa hataki kuongeza muhula wa urais.

Kwa nini mnafanya hili suala kuwa hoja?

Hususan kama kuna makosa mengi sana ambayo Magufuli ameshayafanya ambayo yanaweza kujadiliwa kama hoja halali, factually, na si speculation?

Mimi naona wapinzani wa Magufuli kuongelea hili kunaonesha yafuatayo.

1. Hawana focus. Wanakuwa kama mtu tajiri mwenye hela nyingi sana (wana hoja nyingi sana halali za kumsema Magufuli) lakini ambaye bado anaenda kukopa hela benki kwa riba kubwa sana (licha ya kuwa na hoja nyingi halali za kumsema Magufuli, wanaenda kukopa hoja ambayo haina uhalali ya kuhusu makosa ambayo hayajafanyika,kiasi cha kufanya watu wahoji umakini wao).

2. Hawajadili mambo kwa facts. Bali kwa speculations.

3. Wanahukumu kosa ambalo wanafikiri litatetendeka, badala ya kuhukumu kosa lililotendeka. Hili ni jambo hatari. Kwa msingi huu, Magufuli anaweza kuamka siku moja akasema ameota waponzani wanataka kumpindua. Akawafunga wote.

4. Wanapoteza muda na nguvu kujadili speculations wakati kuna mambo muhimu ya kubana sasa hivi kama wizi wa kura katika uchaguzi, tume huru ya uchaguzi, katiba mpya etc.

5. Wanaonesha paranoia. Kitu ambacho hakifai katika uongozi.
Umati huu wote uliouona Tanzania wa kumlilia Hayati Rais Magufli bado unaamini kura ziliibiwa? Ile ilikuwa sunami.

Unajua kama ulivyo sema kuwa watu walio mwogopa Hayati Rais Maguduli waki-speculate vitu ambavyo havita tokea, ndivyo hivyo hivyo na wewe umefanya.

Kitendo cha kusema kuwa tatizo ni kuiba kura hilo nalo ni speculation. Huna takwimu na crues ambazo zina support hilo. Ni uongo mtupu. Nanyi mmesutwa na watanzania. Watanzania wamewaonyesha kuwa nyie mmejawa na fantasy ukweli wa mambo hamwuujui.
 
Natabiri ya kuwa jaribio lolote la kubadili katiba na kurefusha ukomo wa Rais litazua Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili.

Yani hamtoamini wala kudhania. Itakuwa ni siku mbaya na nzito kwa Taifa ndipo sote tutaamini kweli kuna deep state in side state.

Nasali Jambo hili lisitokee wala kusemwa tu. Madhara yake yatatutesa sana kama Taifa.

Mungu ibariki Tanzania.
Wabongo hawataki mchezo kile kipacemaker wamekikoroga pulse zake
 
Back
Top Bottom