Mkuu, siyo kila mtu ana imani na huyo mama.Wanajua kutuchezea akili. Yaani ghafla kila mtu ana imani na Mama, sio CCM, Chadema, ACT au NCCR wote shwari.
Ndio haki ya Usawa hiyoBila kusahau ruzuku vyama vya upinzani.
Mkuu, sijui kama mimi na wewe tuliuelewa sawa uzi huu! Yaani yawezekana ulivyouelewa wewe ni tofauti kabisa na nilivyouelewa mimi....na hakuna ubaya katika hilo!Kumlaumu mtu kwa makosa ambayo hajayafanya ni ujinga.
Hususan kama hujamuwajibisha kwa makosa ambayo kashayafanya.
Yani unajifanya masikini wa makosa, unakopa makosa ambayo hayajatokea. Kwa kulipia riba kubwa.
Wakati wewe ni bilionea wa makosa, una makosa mengi yashatokea unayo benki.
Ujinga mtupu.
Matokeo yake mtu kajifia hata 2021 hajamaliza mmeonekana wapiga ramli za uchuro tu.
Unaweza kupewa kesi ya kumuua mtu hivihivi.
Kwamba umemuua kwa sababu hukutaka aongeze muda wa urais 2025, ulikuwa unamsema sana kwa hilo.
Kumbe mtu mwenyewe tulijua wengi afya yake mgogoro na kuna nafasi kubwa tu anavyokataa kuvaa barakoa hawezi kufika hiyo 2025!
Mmetumia muda mwingi sana na energy nyingi sana kupinga hoja ambayo imekuwa ujinga mtupu.
Mara nyingine mkiambiwa hii hoja haina uzito wowote na watu wenye akili kubwa na kuweza kuona patterns za mbele msikilize.
Nakwambia hivi, kumhukumu mtu kwa makosa ambayo hajayafanya bado, wakati ana makosa kemkem ambayo kashayafanya ni ujinga.Mkuu, sijui kama mimi na wewe tuliuelewa sawa uzi huu! Yaani yawezekana ulivyouelewa wewe ni tofauti kabisa na nilivyouelewa mimi....na hakuna ubaya katika hilo!
Mtoa mada alionya kuwa kama kuna mikakati hiyo ya kiovu, kuna consequences mbaya/nzito zitakazilishitua taifa lile. Na kwa namna wengine tulivyokuwa tunatafsiri matukio na matendo ya utawala ule....Na yaliyojiri majuzi.....well, hatuwezi kusema kwa hakika kuwa kuna mkono wa mtu kwenye kifo chake lakini pia hatuwezi kufutilia mbali uwezekano huo.
Mkuu, nakuelewa. Lakini sikuona hiyo hukumu unayosema kwenye maoni ya mleta uzi!Nakwambia hivi, kumhukumu mtu kwa makosa ambayo hajayafanya bado, wakati ana makosa kemkem ambayo kashayafanya ni ujinga.
Hongera sana. Mimi nimesoma "general properties of elementary particles" (quark and Leptons)Duh...siamini Kama wewe ni authority wa issues hizo...Mimi mwenzio nimesoma mwaka mzima the politics of industrial states...miongoni mwa topics...ni Germany and the rise and fall of Hitler...WWII na kadhalika...mwenzangu ulisoma Nini.?
Ukisema "Magufuli atajiongezea muda wa urais 2025" umemhukumu kwamba atafanya kosa la kujiongezea muda wa urais mwaka 2025.Mkuu, nakuelewa. Lakini sikuona hiyo hukumu unayosema kwenye maoni ya mleta uzi!
Hahahaha umewahi kusoma kitabu chake Hitler...Mein Kampf?Hongera sana. Mimi nimesoma "general properties of elementary particles" (quark and Leptons)
Hitler anapendwa ndiyo maana sehemu kubwa ya ulimwengu wa 1 wametunga sheria za kupiga marufuku vikundi vya kumtukuza na sheria za kufunga mtu akiwa na tatoo ya swastika.
Nimekisoma sana na ninacho katika maktaba yangu ya ebooks hata ukitaka nakutumia copy hapa. Huko kumwandama kwa kupiga marufuku machapisho yake na alama za nazism maana yake wanajua wapo watu wanaom-admire na wanapenda mambo yake.Hahahaha umewahi kusoma kitabu chake Hitler...Mein Kampf?
Sina hakika Kama huyo mbabe anapendwa sana..hata ukienda Ujerumani wao huwa wako reserved kumzungumzia..hata Mein Kampf Ujerumani kimepigwa marufuku
Anyway tunachofahamu kuhusu Hitler ni version ya walioshinda Vita...
Kubali basi na Magufuli kashindwa vita. Sisi tutaandika historia ya ushindi wetu. At least unajua he is a loserAnyway tunachofahamu kuhusu Hitler ni version ya walioshinda Vita
Nyie watu[emoji22][emoji22]Mkuu haujaelewaa hoja yake? Anamaanisha kwamba Raisi atakuwa SAMIA (mwanamke),baada ya Mungu kutovumilia ushenzi wa huyu aliepo Sasa( Sasa sijui akiongea nae[emoji848]).Bawacha hawana hoja ya msingi, ukute yeye ndo atatangulia [emoji23][emoji23]
Aisee!!
We jamaa daah
Kabisa. Kama ninaonyesha mwelekeo wa makosa hayo, ni sahihi kuonywa. Naona unacheza vizuri na neno 'kuhukumu'.....! Sijui kwa nini?! Hebu onyesha mahali ambapo mleta uzi alihukumu. Mimi kila nikisoma post ya kwanza ya uzi huu ninaona alitahadharisha/alionya.Ukisema "Magufuli atajiongezea muda wa urais 2025" umemhukumu kwamba atafanya kosa la kujiongezea muda wa urais mwaka 2025.
Kosa ambalo hajalifanya bado na hatalifanya, kwa sababu amekwishafariki.
Umemhukumu kwa kosa ambalo mwaka wa kufanyika kosa yeye atakuwa kashafariki kwa miaka minne tayari.
Wewe unataka tukuhukumu kwa makosa utakayoyafanya miaka minne baada ya kufa kwako?
Ukisema "huyu atajiongezea muda wa urais mwaka 2025" umehukumu.Kabisa. Kama ninaonyesha mwelekeo wa makosa hayo, ni sahihi kuonywa. Naona unacheza vizuri na neno 'kuhukumu'.....! Sijui kwa nini?! Hebu onyesha mahali ambapo mleta uzi alihukumu. Mimi kila nikisoma post ya kwanza ya uzi huu ninaona alitahadharisha/alionya.
Duh...wewe ni mpuuzi mwingine miongoni mwa wapuuzi wachache wanaofurahia kifo Cha JPM...utadhani nyie hamtamufa...unaposema 'sisi tutaa dika historian ya ushindi' una maana. Wewe na Nani? Ushindi' gani unauzungumia wewe? Magufuli ameshindwa Vita gani? Nyie Yaani wewe na wenzio wachache ni waoga...you are cowards...haya mnsyoandika mitandaoni dhidi ya JPM hamuwezi kuyasema hadharani kwani mtashughulikiwa na umma kwa kupigwa mawe..faraja yenu ni mitandao mnakojificha nyuma ya keyboard na kubwabwaja hiki na kile dhidi ya JPM shuja wa Tanzania na Afrika..nyie no waoga tu...ukiyasema hayo kwenye daladala utatolewa hummo Kama mbwa...Kubali basi na Magufuli kashindwa vita. Sisi tutaandika historia ya ushindi wetu. At least unajua he is a loser
Imeshindikana kuonyesha kwenye 'post mama' mahali ambapo mleta mada 'alihukumu?!' Mara ya kwanza wewe kuchangia uzi huu, post yako ni #6, hiyo hukumu unayodai imetolewa iko wapi kwenye post 5 za kabla ya mchango wako?!Ukisema "huyu atajiongezea muda wa urais mwaka 2025" umehukumu.
That is a judgement call.
You have passed judgement that the person will extend his term in office.
Presumptuously. By precrime.
Before the person does so.
Like some omniscient clairvoyant with prescience supernatural powers and mystic abilities.
Total abracadabra bullshit.
Huhitaji kusoma post kuona hukumu, heading ya thread tayari imeanza kutabiri.Imeshindikana kuonyesha kwenye 'post mama' mahali ambapo mleta mada 'alihukumu?!' Mara ya kwanza wewe kuchangia uzi huu, post yako ni #6, hiyo hukumu unayodai imetolewa iko wapi kwenye post 5 za kabla ya mchango wako?!
Kama huwezi kuweka hapa hiyo unayodai kuwa ni 'hukumu' .....
naishia hapa!
Mkuu, punguza jazba....siyo nzuri kwa afya yako!Huhitaji kusoma post kuona hukumu, heading ya thread tayari imeanza kutabiri.
Huwezi kutabiri bila kuhukumu.
Kutabiri ni kuhukumu kwamba hili litatokea.
Some prejudice ass shit.
Uchawi uchawi, shirka shirka, utabiri utabiri wa kijinga.
Ongeleeni fact.
Hiki kimetokea, hakibishiki.
Sio mnaanza kutabiri nani atajamba lini kwa sababu kala mayai lini.
Stupid rumormongering.
Fake news.
Nikitaka kuanza utabiri feki naweza kukuzushia tu wewe utaiba mwaka 2025.
Tukufunge.
Utaona hilo ni sawa?
Safi Sana,Hakuna Cha shekhe yahaya watu wapo ktika system wanajua kinachojiri
Hata hivyo kwa nchi hii ya Tanzania ni ngumu mnooo kumuongezea raisi muda wa kutawala Kuna kanuni zimewekwa mahususi na hazipaswi kuvunjwa kwaajili ya usalama wa nchi wewe unadhani waliofanya nchi hii awamu hii kuwe na raisi mkristo na awamu nyingine kuwe na Raisi muislam ni wajinga !? Kuna kile ambacho walikiona so wanajaribu kufanya power balance ili nchi isije kuingia ktk machafuko ya kidini pia Tanzania ni nchi iliyo
kimkakati Usafi wa siasa zake unachangia nafuu ya Utulivu wa nchi jirani na pia inachangia ustawi wa uchumi wa nchi hizo umeshawahi kujiuliza endapo Tanzania ikiingia ktk machafuko Nchi kama Malawi na zote ambazo hazina bandari zitakuwa na Hali ipi kiuchumi !?? So hata hao mabeberu wanategemea Sana hali ya usalama wa Tanzania ili waweze kufanya mambo Yao kwa wepesi kwa nchi zinazo izunguka Tanzania so endapo ikitokea Tanzania ikampata kiongozi ambaye anaweza kuvuruga amani ya taifa hili huyo kiongozi hawezi kuachwa wala kubaki salama Trust me na hicho ndio kilicho mkuta huyo jamaa yenu Akome Sana huko alipo maana alidhani hili taifa ni la baba yake [emoji16]