Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Wanajua kutuchezea akili. Yaani ghafla kila mtu ana imani na Mama, sio CCM, Chadema, ACT au NCCR wote shwari.
Mkuu, siyo kila mtu ana imani na huyo mama.
Ijulikane mapema Sisi wengine hatuna imani naye.
Tuna kumbukumbu: matamshi yake ya kifedhuli kwenye kampeni za mwaka jana.
Hela iliyopotea walipoachwa peke yao kwenye bunge la katiba (alikuwa makamu mwenyekiti)
Kura za marehemu kwenye bunge lile!
Binafsi sina imani naye. Atende HAKI bila unafiki atushawishi.
 
Mkuu, sijui kama mimi na wewe tuliuelewa sawa uzi huu! Yaani yawezekana ulivyouelewa wewe ni tofauti kabisa na nilivyouelewa mimi....na hakuna ubaya katika hilo!
Mtoa mada alionya kuwa kama kuna mikakati hiyo ya kiovu, kuna consequences mbaya/nzito zitakazilishitua taifa lile. Na kwa namna wengine tulivyokuwa tunatafsiri matukio na matendo ya utawala ule....Na yaliyojiri majuzi.....well, hatuwezi kusema kwa hakika kuwa kuna mkono wa mtu kwenye kifo chake lakini pia hatuwezi kufutilia mbali uwezekano huo.
 
Nakwambia hivi, kumhukumu mtu kwa makosa ambayo hajayafanya bado, wakati ana makosa kemkem ambayo kashayafanya ni ujinga.
 
Nakwambia hivi, kumhukumu mtu kwa makosa ambayo hajayafanya bado, wakati ana makosa kemkem ambayo kashayafanya ni ujinga.
Mkuu, nakuelewa. Lakini sikuona hiyo hukumu unayosema kwenye maoni ya mleta uzi!
 
Duh...siamini Kama wewe ni authority wa issues hizo...Mimi mwenzio nimesoma mwaka mzima the politics of industrial states...miongoni mwa topics...ni Germany and the rise and fall of Hitler...WWII na kadhalika...mwenzangu ulisoma Nini.?
Hongera sana. Mimi nimesoma "general properties of elementary particles" (quark and Leptons)

Hitler anapendwa ndiyo maana sehemu kubwa ya ulimwengu wa 1 wametunga sheria za kupiga marufuku vikundi vya kumtukuza na sheria za kufunga mtu akiwa na tatoo ya swastika.
 
Mkuu, nakuelewa. Lakini sikuona hiyo hukumu unayosema kwenye maoni ya mleta uzi!
Ukisema "Magufuli atajiongezea muda wa urais 2025" umemhukumu kwamba atafanya kosa la kujiongezea muda wa urais mwaka 2025.

Kosa ambalo hajalifanya bado na hatalifanya, kwa sababu amekwishafariki.

Umemhukumu kwa kosa ambalo mwaka wa kufanyika kosa yeye atakuwa kashafariki kwa miaka minne tayari.

Wewe unataka tukuhukumu kwa makosa utakayoyafanya miaka minne baada ya kufa kwako?
 
Hahahaha umewahi kusoma kitabu chake Hitler...Mein Kampf?

Sina hakika Kama huyo mbabe anapendwa sana..hata ukienda Ujerumani wao huwa wako reserved kumzungumzia..hata Mein Kampf Ujerumani kimepigwa marufuku
Anyway tunachofahamu kuhusu Hitler ni version ya walioshinda Vita...
 
Nimekisoma sana na ninacho katika maktaba yangu ya ebooks hata ukitaka nakutumia copy hapa. Huko kumwandama kwa kupiga marufuku machapisho yake na alama za nazism maana yake wanajua wapo watu wanaom-admire na wanapenda mambo yake.

Usione aibu kumpenda Magufuli siyo kosa. Kosa ni kutaka kutuaminisha wote tumpende wakati tunaona alikuwa kiongozi mwenye mapungufu mengi sana kuliko kiongozi yoyote tuliyepata kuwa naye hapa nchini.
 
Anyway tunachofahamu kuhusu Hitler ni version ya walioshinda Vita
Kubali basi na Magufuli kashindwa vita. Sisi tutaandika historia ya ushindi wetu. At least unajua he is a loser
 
Mkuu haujaelewaa hoja yake? Anamaanisha kwamba Raisi atakuwa SAMIA (mwanamke),baada ya Mungu kutovumilia ushenzi wa huyu aliepo Sasa( Sasa sijui akiongea nae[emoji848]).Bawacha hawana hoja ya msingi, ukute yeye ndo atatangulia [emoji23][emoji23]
Nyie watu[emoji22][emoji22]
 
Kabisa. Kama ninaonyesha mwelekeo wa makosa hayo, ni sahihi kuonywa. Naona unacheza vizuri na neno 'kuhukumu'.....! Sijui kwa nini?! Hebu onyesha mahali ambapo mleta uzi alihukumu. Mimi kila nikisoma post ya kwanza ya uzi huu ninaona alitahadharisha/alionya.
 
Ukisema "huyu atajiongezea muda wa urais mwaka 2025" umehukumu.

That is a judgement call.

You have passed judgement that the person will extend his term in office.

Presumptuously. By precrime.

Before the person does so.

Like some omniscient clairvoyant with prescience supernatural powers and mystic abilities.

Total abracadabra bullshit.
 
Kubali basi na Magufuli kashindwa vita. Sisi tutaandika historia ya ushindi wetu. At least unajua he is a loser
Duh...wewe ni mpuuzi mwingine miongoni mwa wapuuzi wachache wanaofurahia kifo Cha JPM...utadhani nyie hamtamufa...unaposema 'sisi tutaa dika historian ya ushindi' una maana. Wewe na Nani? Ushindi' gani unauzungumia wewe? Magufuli ameshindwa Vita gani? Nyie Yaani wewe na wenzio wachache ni waoga...you are cowards...haya mnsyoandika mitandaoni dhidi ya JPM hamuwezi kuyasema hadharani kwani mtashughulikiwa na umma kwa kupigwa mawe..faraja yenu ni mitandao mnakojificha nyuma ya keyboard na kubwabwaja hiki na kile dhidi ya JPM shuja wa Tanzania na Afrika..nyie no waoga tu...ukiyasema hayo kwenye daladala utatolewa hummo Kama mbwa...
Huwezi kumlinganisha Magufuli na Hitler..Magufuli ni habari nyingine...he is somehow a saint.
 
Imeshindikana kuonyesha kwenye 'post mama' mahali ambapo mleta mada 'alihukumu?!' Mara ya kwanza wewe kuchangia uzi huu, post yako ni #6, hiyo hukumu unayodai imetolewa iko wapi kwenye post 5 za kabla ya mchango wako?!
Kama huwezi kuweka hapa hiyo unayodai kuwa ni 'hukumu' .....
naishia hapa!
 
Huhitaji kusoma post kuona hukumu, heading ya thread tayari imeanza kutabiri.

Huwezi kutabiri bila kuhukumu.

Kutabiri ni kuhukumu kwamba hili litatokea.

Some prejudice ass shit.

Uchawi uchawi, shirka shirka, utabiri utabiri wa kijinga.

Ongeleeni fact.

Hiki kimetokea, hakibishiki.

Sio mnaanza kutabiri nani atajamba lini kwa sababu kala mayai lini.

Stupid rumormongering.

Fake news.

Nikitaka kuanza utabiri feki naweza kukuzushia tu wewe utaiba mwaka 2025.

Tukufunge.

Utaona hilo ni sawa?
 
Mkuu, punguza jazba....siyo nzuri kwa afya yako!
Utabiri siyo hukumu.
Blah blah blah blah blah blah!
Ding dong, dong ding....
UTABIRI siyo HUKUMU.
 
Safi Sana,
Umefunguka kinyama.
Taifa hili Ni letu some.
Nimekuelewa vema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…