hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
,[emoji120][emoji120]Safi Sana,
Umefunguka kinyama.
Taifa hili Ni letu some.
Nimekuelewa vema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
,[emoji120][emoji120]Safi Sana,
Umefunguka kinyama.
Taifa hili Ni letu some.
Nimekuelewa vema.
Ukishasema huyu ataiba, kabla hajaiba, umemhukumu.Mkuu, punguza jazba....siyo nzuri kwa afya yako!
Utabiri siyo hukumu.
Blah blah blah blah blah blah!
Ding dong, dong ding....
UTABIRI siyo HUKUMU.
Kwani Kuna mwingine ameunda genge la kumlazimsha?Huu mjadala uliishia wapi au ndio ulikuwa mahsusi kwa mwendazake?
Wanapima upepo wasaka tongeKwani Kuna mwingine ameunda genge la kumlazimsha?
Unataka kusema wako chocho wanasikilizia?Wanapima upepo wasaka tonge
Halafu walikuwa wanajua ataishi milele
Da kweli Mungu sio CCMKabisa ,walijua ataishi milele ndio maana Mataga walikuwa wanatolea mifano ya china kwamba rais wao hana kikomo na huku wampe MAGU kutawala bila kikomo.
Asante kwa kutupa tahadhariNatabiri ya kuwa jaribio lolote la kubadili katiba na kurefusha ukomo wa Rais litazua Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili.
Yani hamtoamini wala kudhania. Itakuwa ni siku mbaya na nzito kwa Taifa ndipo sote tutaamini kweli kuna deep state in side state.
Nasali Jambo hili lisitokee wala kusemwa tu. Madhara yake yatatutesa sana kama Taifa.
Mungu ibariki Tanzania.
Mmh!!
Kila nikiangalia hii comment hua najiuliza hv wewe ni mtabiri?
Oya vipi mzee
Hakuna cha Nabii hao ndo wasuka mpango wa kumuua RaisManabii bado wapo
Kivipi?Huyu 1954 atakuwa anashindia tramadol tu huko aliko maana atakuwa na maumivu hadi ya kongosho
[emoji1][emoji1][emoji1]Una matatizo kichwani....mama anaendeleza Yale ya Magufuli...wabadhirifu watendaji wabovu wore watashughulikiwa...hakuna kuoneana aibu...mwisho wa siku mtaanza kulalamika Kama ilivyokuwa kwa Magu..
Huyu ni mkali kuliko Magu...subiri uone...
😳😳😳😳unahusika haki ya MUNGU tena????????????????????????????????......???????
Mkuu ulipita mule mule. Mungu fundi jamani