Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Natabiri jaribio lolote la kubadilisha Katiba na ukomo wa Rais litaibua mazito

Mann kila kukicha nikujadili kuongezewa muda?? So tumetoka uchaguzi mwaka Jana tuu!!
tujadili maendeleo tuache ujinga
 
😳😳😳😳unahusika haki ya MUNGU tena????????????????????????????????......???????
Dogo Tulia wewe bado huko ofisini mbele yako ukutani kuna picha ya mama au huko hapo sofani kwa shemeji yako umening'iniza poumbou?!
 
Dogo Tulia wewe bado huko ofisini mbele yako ukutani kuna picha ya mama au huko hapo sofani kwa shemeji yako umening'iniza poumbou?!
😂😂😂😂😂majitu ya humu majinga mweee........bro nshatoka kwenye picha ya mama saa hv natembea na lapel pin ya dove....afu shemeji ndo yupo kwangu...... turudi kwenye mada sikia unahusika wewe ndo muuaji mmoja wa uno😎😎😎.....????????
 
Natabiri ya kuwa jaribio lolote la kubadili katiba na kurefusha ukomo wa Rais litazua Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili.

Yani hamtoamini wala kudhania. Itakuwa ni siku mbaya na nzito kwa Taifa ndipo sote tutaamini kweli kuna deep state in side state.

Nasali Jambo hili lisitokee wala kusemwa tu. Madhara yake yatatutesa sana kama Taifa.

Mungu ibariki Tanzania.
Aaah kumbe?? ndio maama Asante corona.
 
Kwanza kabisa, niseme mimi si mtetezi wa Magufuli wala CCM. Ni mtetezi wa haki na mchambuzi wa siasa na mantiki.

Magufuli nishamsema sana, hivyo, ninachoandika hapa si kwa sababu ya kumtetea Magufuli.

Twende kwenye hoja baada ya dibaji hiyo.

Magufuli ameshasema mara kadhaa hataki kuongeza muhula wa urais.

Kwa nini mnafanya hili suala kuwa hoja?

Hususan kama kuna makosa mengi sana ambayo Magufuli ameshayafanya ambayo yanaweza kujadiliwa kama hoja halali, factually, na si speculation?

Mimi naona wapinzani wa Magufuli kuongelea hili kunaonesha yafuatayo.

1. Hawana focus. Wanakuwa kama mtu tajiri mwenye hela nyingi sana (wana hoja nyingi sana halali za kumsema Magufuli) lakini ambaye bado anaenda kukopa hela benki kwa riba kubwa sana (licha ya kuwa na hoja nyingi halali za kumsema Magufuli, wanaenda kukopa hoja ambayo haina uhalali ya kuhusu makosa ambayo hayajafanyika,kiasi cha kufanya watu wahoji umakini wao).

2. Hawajadili mambo kwa facts. Bali kwa speculations.

3. Wanahukumu kosa ambalo wanafikiri litatetendeka, badala ya kuhukumu kosa lililotendeka. Hili ni jambo hatari. Kwa msingi huu, Magufuli anaweza kuamka siku moja akasema ameota waponzani wanataka kumpindua. Akawafunga wote.

4. Wanapoteza muda na nguvu kujadili speculations wakati kuna mambo muhimu ya kubana sasa hivi kama wizi wa kura katika uchaguzi, tume huru ya uchaguzi, katiba mpya etc.

5. Wanaonesha paranoia. Kitu ambacho hakifai katika uongozi.
Tabia na mienendo yake ilionesha kuwa anatarajia kwa dhati kubadili katiba.

Hoja hii inakuja baada ya serikali yake kupeleka mswaada wa kuwapa kinga ya kushitakiwa kwa Rais, Spika na Waziri Mkuu na Jaji mkuu.
 
😂😂😂😂😂majitu ya humu majinga mweee........bro nshatoka kwenye picha ya mama saa hv natembea na lapel pin ya dove....afu shemeji ndo yupo kwangu...... turudi kwenye mada sikia unahusika wewe ndo muuaji mmoja wa uno😎😎😎.....????????
Mkuu unajua unanichekeshaga sana toka ile comment yako ukiniambia nisikariri maisha na ofisini kwako iko picha ya mama. Cheka sana mkuu
 
Mkuu unajua unanichekeshaga sana toka ile comment yako ukiniambia nisikariri maisha na ofisini kwako iko picha ya mama. Cheka sana mkuu
Maisha mafupi bro tufurahi tu😂😂😂😂....
 
Tabia na mienendo yake ilionesha kuwa anatarajia kwa dhati kubadili katiba.

Hoja hii inakuja baada ya serikali yake kupeleka mswaada wa kuwapa kinga ya kushitakiwa kwa Rais, Spika na Waziri Mkuu na Jaji mkuu.
Sasa mmempachika mtu muhula wa kuongeza wakati hata muhula wa pili hajaumaliza.

Akili hiyo?

Wild speculations from an unanchored paranoia.

Unamhukumu vipi mtu kwa makosa ambayo hajayafanya bado, unamkisia tu atayafanya?

Akifa kabla ya kufanya hayo makosa hujioni mjinga kwa kumpa umuhimu ambao hana kiuhalisi?
 
Back
Top Bottom