Hofu ya kutengeneza,... Hamna lolote.Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania...
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machoz na dam.
Mtikisiko ulio ikumba dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao...
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu....
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen
Wavuane nguo kwanza... mkishavuragana huko chamani ndio mnakimbilia wananchi "pray for the nation"!
Yeye sio Mungu aangalie asije kuacha kutoboa yeye.Sukuma gang mna roho ya paka au ?
Samia amesema hamtoboi..
Turudishe majeshi ndg zang.
Mungu ana maguvu sana.
Wasabato huwa mnanifurahisha mweKuna hatari mbele ya Tanzania ambayo ni 666. Ndugai ni spika wa Sita katika orodha ya maspika wote ambaye amejiuzulu nafasi yake kama spika wa bunge tarehe Sita kwenye awamu ya Sita (666) ni ishara ya kuwa makini na hatari iliyopo mbele ya Tanzania. Chunga mazingira yaliyo kuzunguka.
😁😁😁😂😂 Dunia hii haiishiwi vituko aiseee.View attachment 2072055Acha bwana?
Duh aiseee huu mwaka umeanza kivingineKuna hatari mbele ya Tanzania ambayo ni 666. Ndugai ni spika wa Sita katika orodha ya maspika wote ambaye amejiuzulu nafasi yake kama spika wa bunge tarehe Sita kwenye awamu ya Sita (666) ni ishara ya kuwa makini na hatari iliyopo mbele ya Tanzania. Chunga mazingira yaliyo kuzunguka.
Sukuma gang wanajifariji 😆😆.Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania...
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machoz na dam.
Mtikisiko ulio ikumba dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao...
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu....
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen
Kimsingi hatabiri bali anahisiHilo jambo kama linaendelea sasa utabiri wake wa nini nijuavyo mimi utabiri hufanywa kwa jambalo halipo au bado halijatokea!
Kweli kabisa, sidhani kama kuna mbunge wa ccm ambaye hajajimilikisha ardhi kubwa tu, labda kama mwenyewe hatakiHata Ndugai alijua mnazareti rafiki atamvusha, kumbe mnazareti alishamchoka kwani aliwahi kumsingizia.
Kamwe siombei wanakijani, natamani kikombe cha Mungu kijae na kumwagika juu yao, ccm inachosha, imejimilikisha nchi, tumetumiwa vya kutosha kama machangu wa Sinza...
Nasema nimeichoka ccm, naomba nisife kabla sijauona mwisho wa enzi yao.
Nobody cares ! Kweli kabisa !Kuna watu ndio leo wamejua spika amejiuzulu huku mtaani no body cares, mitandaoni ndio hofu. Watanzania hawana muda na gutter politics
Mbona sijakuelewa na hiyo 666? Usifananishe mambo ya Tz na ya Kibiblia.Kuna hatari mbele ya Tanzania ambayo ni 666. Ndugai ni spika wa Sita katika orodha ya maspika wote ambaye amejiuzulu nafasi yake kama spika wa bunge tarehe Sita kwenye awamu ya Sita (666) ni ishara ya kuwa makini na hatari iliyopo mbele ya Tanzania. Chunga mazingira yaliyo kuzunguka.
Amerudi nani sheikh Yahya mwenyeweNasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania...
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machoz na dam.
Mtikisiko ulio ikumba dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao...
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu....
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen