Natabiri kuna jambo zito sana la siri linaendelea katika siasa za Tanzania

Natabiri kuna jambo zito sana la siri linaendelea katika siasa za Tanzania

chorus za mwisho mwisho hapo kwenye mataifa makubwa ndio sehemu hatari sana panapotisha.

the world mafioso, are watching closely and calculating all posibilities....our failure to handle and weigh every stage will favor them..

Magufuri amekufa, TL amekoga marisasi dodoma makao makuu mchana..TL yuko uhamishoni akafuatiwa na Lema baada tu ya uchaguzi, Mbowe yuko mahabusu.....Leo Spika is out....hatujui ya kesho, Matukio mageni mageni tu kwa Taifa....

dots ni nyingi sana, unatakiwa ujue kuziunga.

Ongeza na hili, RPF is in Mozambique, the southern Tanzania, Total is dip inside Tanzania now to expand its business..
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania...
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machoz na dam.
Mtikisiko ulio ikumba dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao...
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu....
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen
Hofu ya kutengeneza,... Hamna lolote.
 
Kuna hatari mbele ya Tanzania ambayo ni 666. Ndugai ni spika wa Sita katika orodha ya maspika wote ambaye amejiuzulu nafasi yake kama spika wa bunge tarehe Sita kwenye awamu ya Sita (666) ni ishara ya kuwa makini na hatari iliyopo mbele ya Tanzania. Chunga mazingira yaliyo kuzunguka.
Wasabato huwa mnanifurahisha mwe
 
Kuna hatari mbele ya Tanzania ambayo ni 666. Ndugai ni spika wa Sita katika orodha ya maspika wote ambaye amejiuzulu nafasi yake kama spika wa bunge tarehe Sita kwenye awamu ya Sita (666) ni ishara ya kuwa makini na hatari iliyopo mbele ya Tanzania. Chunga mazingira yaliyo kuzunguka.
Duh aiseee huu mwaka umeanza kivingine
 
Hakuna jipya watu tunawaza tupataje pesa za akiba mwakani endapo misosi itapanda Bei au kuadimika
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania...
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machoz na dam.
Mtikisiko ulio ikumba dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao...
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu....
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen
Sukuma gang wanajifariji 😆😆.

Ila Taifa na Rais tunawaombea kila siku ni wajibu wenye faida.
 
Hata Ndugai alijua mnazareti rafiki atamvusha, kumbe mnazareti alishamchoka kwani aliwahi kumsingizia.

Kamwe siombei wanakijani, natamani kikombe cha Mungu kijae na kumwagika juu yao, ccm inachosha, imejimilikisha nchi, tumetumiwa vya kutosha kama machangu wa Sinza...
Nasema nimeichoka ccm, naomba nisife kabla sijauona mwisho wa enzi yao.
Kweli kabisa, sidhani kama kuna mbunge wa ccm ambaye hajajimilikisha ardhi kubwa tu, labda kama mwenyewe hataki
 
Kuna hatari mbele ya Tanzania ambayo ni 666. Ndugai ni spika wa Sita katika orodha ya maspika wote ambaye amejiuzulu nafasi yake kama spika wa bunge tarehe Sita kwenye awamu ya Sita (666) ni ishara ya kuwa makini na hatari iliyopo mbele ya Tanzania. Chunga mazingira yaliyo kuzunguka.
Mbona sijakuelewa na hiyo 666? Usifananishe mambo ya Tz na ya Kibiblia.
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania...
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machoz na dam.
Mtikisiko ulio ikumba dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao...
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu....
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen
Amerudi nani sheikh Yahya mwenyewe
 
Back
Top Bottom