Natabiri kuna jambo zito sana la siri linaendelea katika siasa za Tanzania

Natabiri kuna jambo zito sana la siri linaendelea katika siasa za Tanzania

Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania...
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machoz na dam.
Mtikisiko ulio ikumba dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao...
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu....
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen
Nguvu kubwa inatumia kuunyamazisha upinzani, ndani na nje ya CCM, lakini miaka ijayo, hawa leo wanao nangwa watakumbukwa kama mashujaa, wapigiwao makofi watakumbukwa tofauti.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Lisemwalo lipo na halina taarifa huja ghafla kama kifo
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania...
Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machoz na dam.
Mtikisiko ulio ikumba dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao...
Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.
Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu....
Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.
Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.
Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.
Pray for Nation. Amen
Mwaka 2008 Tanzania ilishuhudia ikiandika historia ya waziri mkuu wake kushurutishwa bungeni kujiuzulu kwa kashfa mbalimbali. miaka kumi na tatu baadae mihili miwili katika nchi inasigana wazi wazi hadharani tena kwa jazba na viashiria vya vitisho dhidi ya upande mwingine ambao uliamua kunywea. Ombi la kusamehewa hadharani lilitolewa lakini upande wa pili ulikataa wazi wazi tena hasira zikijidhihirisha bayana.

Shinikizo likatoka upande wa mhilimi tendaji kwenda kwa mhimili jamii kuachia ngazi.

Mhimili jamii umeachia ngazi, kumbukumbu katika historia imeandikwa tayari kwamba mhimili mmoja katika nchi ya Tanzania ulishinikiza mhimili mwingine kuachia ngazi na kwa kuzingatia ulivyo na nguvu mhimili jamii ukatii na kuondoka ukabaki mhimili tendaji na mhimili haki kwa muda.

2022-2023 ni bayana mhimili uliojichimbia chini unaweza kung'oka kutoka kwenye shinikizo la jamii yenyewe.

Mhimili haki kimya, ukisusua katika utendaji wake na inawezekana una jambo lakini kwa kuwa ni watu wanaozingatia mfumo wa kisheria hawataki kuonekana wakikwaruzana na mhimili wowote lakini moyoni wana jambo zito sana hasa kwa kusukumiwa kuamua mambo tete na mtego wa kuaharibu mahusiano ya mihimili.

Kitakachojili na kwa kuwa ufalme ulipo ni mchanganyiko wa chuma na udongo na kwa kuwa jua limeruhusiwa na mwenyezi Mungu kumulika mwanga wake kwenye uso wa dunia kunahatari ya kupoteza............

Viongozi wanashauriwa waache kulipiziana visasi kwa mambo binafsi wanayopingana wenyewe

Mfano ajitokeze hadharani jaji mkuu ambaye ndiye mwenye dhamana ya mhimili kisha akasema kuna baadhi ya kesi hazina mashiko ya kisheria ila kwa matakwa ya mhimili tendaji wanalazimika kwenda nazo kwa shingo upande, je kesho itakuwa salama kwake?

NAKUBALIANA KATIBA IFANYIWE MABADILIKO ili iondoe mianya ya kuonea iwasio na nguvu za kidola.
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Kasimu majaliwa shingo yake ishaliwa
 
Wewe Leo unatabiri? Si utuambie kuhusu Ben Saanane? What did you do that young man? A father, husband, child and friend of ours??

Kila nikiona bandiko lako, nakumbuka visa vyako kwa Ben!!
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Tu pray tena???...why not let things flow

If they did something to the late..its high time now the folds to get unfold.
 
Ni hivi kuna mambo yanatokea sio kwasababu watu wamepanga bali muda ndio unaoamua.kwahiyo hata mkiomba maombi yote dunia bado hayawezi kubadilisha chochote.Ukweli ni kwamba siasa za nchi hii chini ya serikali ya hichi chama zimeshazeeka,zimefika muda wa kufa,ni kama mzee mgonjwa ambaye dalili zakufa zilishaonekana kitambo ila wakawa wanammezesha mezesha dawa nakuuguzwa na wauguzi mbali mbali ili kusogeza uhai,na pamoja na kua na wauguzi wengi kila kona ila wakasahau kua muda ukifika hakuna namna.na kwasasa kwa kadri muda unavyoenda ndivyo ambavyo magonjwa yanazidi.na yatazidi kuongezeka hadi siku ya kufa.Kwahiyo tegemea mgonjwa kuzidiwa zaidi.na kibaya zaidi ni kwamba mgonjwa huyu kwasasa hana baba mwenye uchungu na kauli thabiti,bali anaangaliwa na mama wa jirani ambaye kimsingi nayeye ana yake binafsi mengi anayotamani ayafikie kuliko kumwangalia mgonjwa anaendeleaje.Ndo maana unaona kila mwana familia anaongea lake ili kumnusuru mzee mgonjwa.Tuupe muda nafasi utatupa majibu sahihi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen

mwanamke hajawahi kuwa kichwa cha familia,ila jicho nakubali.

kwa nafasi aliyoipata huyu mama yetu,sijajua kwanini hakuruhusu wanaume hao shupavu wamuongoze na kumshauri,badala yake anaanza league.
kasmart anachambwa hovyo tu,ayubu ndio huyu jana kaona apumzike,yule muha naona kaamua asome magazeti na kuamkia kabisani kila siku asubuhi.

kuna jamaa nilibishana naye sana kuhusu dr na mvutano uliotokea dakika 90+ kabla mama abebeshwe kombe,ila soon tutakwenda kumwelewa dr aliambiwa nini na jamaa,na nini kilimchanganya baada nchi kiingia gizani.waliokwenda mtu na kaka yake kibabe kumkoromea atangaze kama katiba inavyotaka nao wanaangaliana usoni wasiwe na uhakika kama walichokifanya kilikuwa sahihi ama walipuyanga,lakini katiba inasema hivyo ila maslahi ya nchi yanakataa kata kata hatoshi.

kifupi mama anaupiga kokote alikogeukia ndio huko huko.
 
Bendera zitashushwa nusu mlingoti na tutaomboleza kwa siku 21
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Acha kupiga ramli chonganish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanangu unatuchosha sana. Uzi zako nyingi natabiri halafu utabiri wenyewe hauweki. Halafu huwezi kutabiri jambo limeshatokea wewe ndio utabiri.

Au una njaa unataka tukupe sadaka?
 
Nasikia sauti ktk moyo wangu ina niambia kuna jambo lasiri sana linaendelea ktk siasa za Tanzania.

Jambo hili hata mimi sijuwi ila yatupasa kuliombea taifa kwa machozi na damu.

Kuna kimya chakutisha sana tena kutoka kwa wenye roho za hili Taifa, kuna giza nene limeikumba nchi na tunaiyona nembo ya taifa tu ikiwakawaka ktk moyo wa Taifa...
Ukimya huu huwezi kuuwona wala kuhisi kama nimwanadam wakawaida. Ila mimi naona nakuwathibitishia kalitafute neno au andiko lamzee yeyote unaye mjuwa mwenye hekima na alie shiba siri za taifa hili... Ukiliona rudi hapa uniambie mm nitapeli.
Kama ni mchezo wa draft basi mchezeshaji wa hii draft atakuwa na nguvu za ajabu maana draft inameza kete na draft inatoa mlio wa ajabu pindi kete zinasukumwa....
Hakuna anaye shituka wala kudhania kesho yaweza ikawa juu chini na chini juuu...

Mtikisiko ulio ikumba Dodoma sasa unaenda kuwa mtikisiko mkubwa zaidi kwakuwa serikali inaongozwa kwa siri na wengi hufa na siri zao.

Basi tuliombee taifa.
Epuka kuongea au kumsuta mwenzako ukijuwa unaye msuta hujuwi kama vile wewe hakujuwi.

Nawaona wana kijani wanaongea sana nakudhani kuanguka kwa Ndugai ni fursa ila nataka niwaambie huu ndio mwanzo wa utungu.

Yapo mambo hatuyaoni ila sasa yataonekana.

Yapo mambo hatujuwi ila sasa yatajulikana.

Wakati haya yanaendelea mataifa yenye nguvu duniani yanafuwatilia kwa ukaribu kile kinaendelea ktk siasa za Tz.

Pray for Nation. Amen
Hakuna cha siri wala nini. Kuna Sukuma gang, linajulikana. Wanafik watupu kama vile pascal njaa kali.
 
mwanamke hajawahi kuwa kichwa cha familia,ila jicho nakubali.

kwa nafasi aliyoipata huyu mama yetu,sijajua kwanini hakuruhusu wanaume hao shupavu wamuongoze na kumshauri,badala yake anaanza league.
kasmart anachambwa hovyo tu,ayubu ndio huyu jana kaona apumzike,yule muha naona kaamua asome magazeti na kuamkia kabisani kila siku asubuhi.

kuna jamaa nilibishana naye sana kuhusu dr na mvutano uliotokea dakika 90+ kabla mama abebeshwe kombe,ila soon tutakwenda kumwelewa dr aliambiwa nini na jamaa,na nini kilimchanganya baada nchi kiingia gizani.waliokwenda mtu na kaka yake kibabe kumkoromea atangaze kama katiba inavyotaka nao wanaangaliana usoni wasiwe na uhakika kama walichokifanya kilikuwa sahihi ama walipuyanga,lakini katiba inasema hivyo ila maslahi ya nchi yanakataa kata kata hatoshi.

kifupi mama anaupiga kokote alikogeukia ndio huko huko.
Kwenye 'mtu na Kaka yake' ungefungua code kidogo, nimebaki gizani
 
Hata Ndugai alijua mnazareti rafiki atamvusha, kumbe mnazareti alishamchoka kwani aliwahi kumsingizia.

Kamwe siombei wanakijani, natamani kikombe cha Mungu kijae na kumwagika juu yao, ccm inachosha, imejimilikisha nchi, tumetumiwa vya kutosha kama machangu wa Sinza...
Nasema nimeichoka ccm, naomba nisife kabla sijauona mwisho wa enzi yao.
Na mimi pia naungana nawe
 
Back
Top Bottom