Natabiri Rais wa taifa kubwa huko Ulaya atapumzishwa jambo la kutisha sana

Mashariki mwa UKRAINE vimegundulika vituo vya maabara za kutengeneza silaha za kibiologia zenye ufadhili wa Marekani, je hizo ni za nini?
Wewe siasa huijui wala hutoifahamu.
Nenda kanisani kahubiri injili itakusaidia kwenye Maisha yako.
 
Ndo bas tena....maana kuna jamaa alisemaga iviivi kwa magu na kikawakaa
 
Na iwe hivyooo, hivyoooooo...
 
Putin? Sitoshangaa wenzake wakiamua kumpumzisha, he is way over his head. Ile siku kabla ya vita alimsimanga kweli spy chief wake mbele ya vyombo vya habari kisa jamaa alikuwa anaenda kinyume na script na kutaka kupendeza diplomasia zaidi.
Huyu pamoja na kujaa kiburi kilichopitiliza ana ukichaa fulani hivi unaotokana na wapambe wake kumjaza misifa ya Kijinga. Kweli wahenga hswakukosea wsliposema WAPAMBE NI NUKSI SANAA..
 
Hakuna mwanadamu atakayeishi milele
Mkuu katika vitu vinavyofanya waafrika wadharauliwe sana, imagine mtu mwenye akili timamu kabisa anaamini binadamu mwenzake hawezi kufa.
 
expand...Mashariki mwa UKRAINE vimegundulika vituo vya maabara za kutengeneza silaha za kibiologia zenye ufadhili wa Marekani, je hizo ni za nini?
Wewe siasa huijui wala hutoifahamu.
Nenda kanisani kahubiri injili itakusaidia kwenye Maisha yako.
 
Wabongo kwa kupiga ramli yaani unampigia ramli Putin wakati anayaua magaidi ya Ukraine
 

DUH....Hujui kuwa akiuawa Putin vita vya nyuklia vitatokea??? Unafikiri wazungu ni wajinga kiasi hicho? Marekani na yule chura Johnson wanajua wazi kuwa Putin akiuawa watu pale Moscow wanabonyeza vitufe vya nyuklia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…