Natabiri Rais wa taifa kubwa huko Ulaya atapumzishwa jambo la kutisha sana

Natabiri Rais wa taifa kubwa huko Ulaya atapumzishwa jambo la kutisha sana

Kwa hiyo mungu mkuu asiyedhihakiwa anawaona watu wanashushiwa mabomu hawaokoi ila tu anasubiria kujiunganisha na fitina za kisiasa. KAMA AMBAVYO MAREKANI AMEDHALIKIKA NA MUNGU MKUU GODFREY SURUALI INAMVUKA SASA. masikini mungu ikomboe ukraine urudishe angalau hadhi yako
 
Putin Sina tabu naye sana lakini nawaza TU kuwa Kwa Nini asiendeleze mazungumzo ya kidiplomasia badala yake akaamua kuua ndugu zake ambao Wana asili Moja ?

Kuna wapumbavu na malofa wanaojaribu Kulinganisha uvamizi wa Marekani Kwa Libya au Irak na huo uvamizi wa Urusi Kwa Taifa la Ukrein. Ni upofu na ushabiki TU lakini Kuna tofauti kubwa sana.

Kwanza tunasahau kuwa Libya na Iraki zilikua zinatoa vitisho vya mara Kwa mara vya Kuishambulia Israel na kuifuta kwenye Ramani ya Dunia. Jambo ambalo lingeleta vita kubwa. Na pia magaidi walikua wanawashambulia sana wamarekani Kwa muda mrefu na walikua wanapata ufadhili Toka Libya na Iraki. Kuna watu watasema kuwa zilkua propaganda za Marekani ,lakini Libya na Iraki zenyewe ndizo zilikua zinajiloga Kwa kutangaza hadharani kuwaunga mkono magaidi na kuitishia Israel Kwa kufanya majaribio ya silaha zao Kwa lengo la kuifuta Israel.
Sasa bila kupendelea upande wowote ni wazi kuwa Israel isingekubali kuondolewa kwenye Ramani ya Dunia Kwa kusubiri mpaka walipuliwe au hata kufanyiwa majaribio.

Lakini Libya na Iraki kama zingefanya maendeleo yao bila kuweka vitisho kwa nchi nyingine na kuwasapoti magaidi ili wawaue wamarekani kila wanapowaona bila shaka hakuna nchi ingewashambulia na kuwaondoa Marais wao madarakani.

Hata Iddi Amini alipigwa Kwa sababu ya kuitishia kuiangamiza Tanzania na kuchukua mkoa wa Kagera na Kisha Mwanza na baadae kuweka Bendera yake Dodoma. Uchokozi na vitisho vya wazi Kwa Israel ndio uliopelekea Libya kupigwa.
Suala la Palestina ni la muda Mrefu na Israel Wana haki Kwa upande mmoja na wapo tayari kuishi na wapalestina lakini wanahofia kuuawa Kwa kuviziwa na maroketi. Kama Wapalestina wangejichanganya na kuacha siasa za itikadi Kali za kujitoa mhanga nadhani hata Israel wangeishi kama watu wa kawaida TU na maisha yangesonga lakini kama Kuna wanaowaona kama wavamizi wasio na haki itakua ni ubaguzi usioisha. Ni sawa na kuwabagua Kwa wazi wamarekani weusi miaka ya nyuma ilivyokua ni shida na uhasama Kwa miaka mingi mpaka walipoanzia kuwatambua kama wamarekani wengine ndipo kidogo uhasama ukapungua.

Libya pia ilikua inashutumiwa Kwa kuua wapinzani wake kama panya.
Iraki pia Sadamu alikua anawaua wapinzani wake kama panya Kwa kutumia mabomu ya sumu. Ukrein ilikua ni nchi isiyo na vitisho Kwa majirani au Raia wake na ndio maana hata watanzania wengi wamesoma Huko. Ilikua ni nchi Nzuri na isiyo na ubaguzi wa wazi wa kidini kama ilivyokua Libya.

Libya chini ya Gadaff ilijaribu kumsaidia Iddi Amini ili aivamie na kuiangamiza Tanzania wakati Tanzania haikua na uadui na Libya.
Laana ya Libya kujaribu kuwaangamiza watanzania kupitia Idi Amini ilimtafuna mpaka Marekani ilipoamua kuisambaratisha Nguvu ya Libya na kuiacha ikiwa inayumba mpaka Leo.

Siungi mkono uvamizia wowote unaoondoa uhuru wa watu kidemokrasia.

Ni rahisi Kwa Muafrika wa dini yoyote na kabila lolote kwenda kuishi Marekani Kwa uhuru na Kwa amani kuliko kwenda kuishi Urusi. Urusi ni makauzu.

Dunia ni Mali ya Mungu na Mtawala aliyepewa mamlaka ya kutawala kuanzia mbinguni na Mwana wa Adam. Putin anatakiwa aachane na Vita na vitisho vya kuiangamiza dunia Kwa Moto wa mionzi ya Nyuklia. HATA Mungu aliapa kuwa hata Iangamiza Dunia Kwa Moto na Kwa Maji mpaka Kiama.b
HII IMETUKUMBUSHA MAMBO YA MSINGI SANA
 
Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye Yupo nahakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Mtapata taabu sana nyie mashetani
 
hiiu ni operation Z sio vita.

_20220227_060315.JPG.jpg
 
Putin Sina tabu naye sana lakini nawaza TU kuwa Kwa Nini asiendeleze mazungumzo ya kidiplomasia badala yake akaamua kuua ndugu zake ambao Wana asili Moja ?

Kuna wapumbavu na malofa wanaojaribu Kulinganisha uvamizi wa Marekani Kwa Libya au Irak na huo uvamizi wa Urusi Kwa Taifa la Ukrein. Ni upofu na ushabiki TU lakini Kuna tofauti kubwa sana.

Kwanza tunasahau kuwa Libya na Iraki zilikua zinatoa vitisho vya mara Kwa mara vya Kuishambulia Israel na kuifuta kwenye Ramani ya Dunia. Jambo ambalo lingeleta vita kubwa. Na pia magaidi walikua wanawashambulia sana wamarekani Kwa muda mrefu na walikua wanapata ufadhili Toka Libya na Iraki. Kuna watu watasema kuwa zilkua propaganda za Marekani ,lakini Libya na Iraki zenyewe ndizo zilikua zinajiloga Kwa kutangaza hadharani kuwaunga mkono magaidi na kuitishia Israel Kwa kufanya majaribio ya silaha zao Kwa lengo la kuifuta Israel.
Sasa bila kupendelea upande wowote ni wazi kuwa Israel isingekubali kuondolewa kwenye Ramani ya Dunia Kwa kusubiri mpaka walipuliwe au hata kufanyiwa majaribio.

Lakini Libya na Iraki kama zingefanya maendeleo yao bila kuweka vitisho kwa nchi nyingine na kuwasapoti magaidi ili wawaue wamarekani kila wanapowaona bila shaka hakuna nchi ingewashambulia na kuwaondoa Marais wao madarakani.

Hata Iddi Amini alipigwa Kwa sababu ya kuitishia kuiangamiza Tanzania na kuchukua mkoa wa Kagera na Kisha Mwanza na baadae kuweka Bendera yake Dodoma. Uchokozi na vitisho vya wazi Kwa Israel ndio uliopelekea Libya kupigwa.
Suala la Palestina ni la muda Mrefu na Israel Wana haki Kwa upande mmoja na wapo tayari kuishi na wapalestina lakini wanahofia kuuawa Kwa kuviziwa na maroketi. Kama Wapalestina wangejichanganya na kuacha siasa za itikadi Kali za kujitoa mhanga nadhani hata Israel wangeishi kama watu wa kawaida TU na maisha yangesonga lakini kama Kuna wanaowaona kama wavamizi wasio na haki itakua ni ubaguzi usioisha. Ni sawa na kuwabagua Kwa wazi wamarekani weusi miaka ya nyuma ilivyokua ni shida na uhasama Kwa miaka mingi mpaka walipoanzia kuwatambua kama wamarekani wengine ndipo kidogo uhasama ukapungua.

Libya pia ilikua inashutumiwa Kwa kuua wapinzani wake kama panya.
Iraki pia Sadamu alikua anawaua wapinzani wake kama panya Kwa kutumia mabomu ya sumu. Ukrein ilikua ni nchi isiyo na vitisho Kwa majirani au Raia wake na ndio maana hata watanzania wengi wamesoma Huko. Ilikua ni nchi Nzuri na isiyo na ubaguzi wa wazi wa kidini kama ilivyokua Libya.

Libya chini ya Gadaff ilijaribu kumsaidia Iddi Amini ili aivamie na kuiangamiza Tanzania wakati Tanzania haikua na uadui na Libya.
Laana ya Libya kujaribu kuwaangamiza watanzania kupitia Idi Amini ilimtafuna mpaka Marekani ilipoamua kuisambaratisha Nguvu ya Libya na kuiacha ikiwa inayumba mpaka Leo.

Siungi mkono uvamizia wowote unaoondoa uhuru wa watu kidemokrasia.

Ni rahisi Kwa Muafrika wa dini yoyote na kabila lolote kwenda kuishi Marekani Kwa uhuru na Kwa amani kuliko kwenda kuishi Urusi. Urusi ni makauzu.

Dunia ni Mali ya Mungu na Mtawala aliyepewa mamlaka ya kutawala kuanzia mbinguni na Mwana wa Adam. Putin anatakiwa aachane na Vita na vitisho vya kuiangamiza dunia Kwa Moto wa mionzi ya Nyuklia. HATA Mungu aliapa kuwa hata Iangamiza Dunia Kwa Moto na Kwa Maji mpaka Kiama.b
Bango lako hakina mantiki hata kidogo, US iliivamia Iraq kwa sababu zipi? Iliivamia Afghanistan kwa sababu zipi na Gaddafi aliuwawa kwa sababu gani? Usilete biased information hapa.
 
TumainiEl ni gineus. Achana na hao uwajuao
Natambua wadhifa wake hapa Jf ila kuhusu kifo nina Imani ni siri labda kuwepo na dalili za wazi wakati mwingine hata madaktari wanaweza kusema mgonjwa huyu hafiki siku kadhaa lakini unakuta anadunda zaidi

Cha pili mtu wa Kibaigwa kujua taarifa nyeti kama hizi za kiongozi mkubwa ambaye yeye mwenyewe ni jasusi mbobezi na amezungukwa na kitengo hodari cha intelijensia inanipa mashaka.
 
Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye yupo na hakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa. Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni.

Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Ndoto yako wewe unaifanya maono ya jamii ya kimataifa?😳😳🤣

Yule mwamba yupo na ataondoka tu muda wake ukifika kama waondokavyo wengine.....
 
Hizo ni wish zako tu.
Putin atakufa lakini siyo kisa ya vita vya Ukraine. Ikifika siku yake ya kufa atakufa tu.

Nadhani unahisi Marekani ana Intelligence kubwa kuliko KGB.
Hapo sasa...

Hisia zake tu....

Amejikaririsha tu....
 
Umeshindwa kutabiri kama utapata pesa au la unatabiri Mambo ya wanaume wenzio
 
Mkuu vipi kule ukanda wa Gaza ambako taiga teule linaua watu kama nzi
 
Natambua wadhifa wake hapa Jf ila kuhusu kifo nina Imani ni siri labda kuwepo na dalili za wazi wakati mwingine hata madaktari wanaweza kusema mgonjwa huyu hafiki siku kadhaa lakini unakuta anadunda zaidi

Cha pili mtu wa Kibaigwa kujua taarifa nyeti kama hizi za kiongozi mkubwa ambaye yeye mwenyewe ni jasusi mbobezi na amezungukwa na kitengo hodari cha intelijensia inanipa mashaka.
Kwani jasusi hauwawi?
 
Tabiri za Kibongo bhana. Yaani hutaki kuwa specific kutaja ni Rais fulani. Yaani una generalize ili akifa yeyote either west or East ujigambe kuwa NILITABIRI. Kama kina Sheikh Yahaya alivyokuwa anatabiri kuwa Kabla ya Uchaguzi ujao kuna kiongozi au mtu maarufu ataondoka, halafu watu walivyo mapoyoyo itokee hivyo YANAAMINI ILITABIRIWA.

KIUJUMLA ULICHOANDIKA NI WISHES ZAKO
 
Anakiogopa kifo sana,haamini mtu kabisa,hata wale wa karibu yake,kiroho keshakufa bado mwili tu.
417e5b00-98c2-11ec-99bf-645f6bd0dcc4.jpg
 
Back
Top Bottom