Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hizi tabirir hamkuzifanya enzi Gadafi,Mo Husein wananauawa. Au Waparestina wanauawa? Hata hivyo Putin anasali sana kwa Methodist siyo mpagani anajua kabisa ukuu wa Mungu.Hata kwa Magu mlikuwa mkibisha hivihivi mwisho akarest. Hamuelewi kwamba huwezi shindana na Dunia ukashinda.
sijui kwanini kichwa changu kimekua kigumu kuelewa siku hiziNadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye Yupo nahakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.
Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.
Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.
Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Labda Mungu Zumaridi..Mbona hizi tabirir hamkuzifanya enzi Gadafi,Mo Husein wananauawa. Au Waparestina wanauawa? Hata hivyo Putin anasali sana kwa Methodist siyo mpagani anajua kabisa ukuu wa Mungu.
Huyu ni Y. K. T. Mu toka nchi Yu.Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye Yupo nahakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.
Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.
Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.
Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
JFK wa USA alikuwa assasinated baada ya kutaka kuifutilia mbali CIA.Putin? Sitoshangaa wenzake wakiamua kumpumzisha, he is way over his head. Ile siku kabla ya vita alimsimanga kweli spy chief wake mbele ya vyombo vya habari kisa jamaa alikuwa anaenda kinyume na script na kutaka kupendeza diplomasia zaidi.
Hii para ya 4 inaharibu hoja yako kuwa huu ni utabiriTaarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Ikitokea hivyo itakuwa ahueni kwa Dunia kama vile Tzn tulivyopata ahueni japo utabiri wako by then ulichukua mda mrefu Sana.Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye Yupo nahakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.
Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.
Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.
Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Hata Jiwe hakufa alipaaPutin hawexi kufa
Namna ya kumuondoa huyo ni kuwabana matajiri Ili wafilisike lazima watamuondoa tuu huyo Hitler wa Sasa.JFK wa USA alikuwa assasinated baada ya kutaka kuifutilia mbali CIA.
Scenario hii ya Putin niliiwaza mara baada ya vikwazo kuanza.
Hao Oligarchs wakibanwa sana watamuondoa.
Acha uboya ww, utabiri gani ulionao ww?Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye Yupo nahakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.
Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.
Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.
Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Hao walikuwa na hatari specific sio kama huyu mbwa wa Sasa anahatarisha usalama wa Dunia yote kwenye uchumi na uhai wa watu.Mbona hizi tabirir hamkuzifanya enzi Gadafi,Mo Husein wananauawa. Au Waparestina wanauawa? Hata hivyo Putin anasali sana kwa Methodist siyo mpagani anajua kabisa ukuu wa Mungu.
Punguza kuangalia CD za akina Sheikh maiko na Mazinge utakuja nishukru.MSIMAMO WANGU UKO PALE PALE KILA VITA LAZIMA VATIKANI ANAHUSIKA hata hii piah anahusika
Mu7?Huyu ni Y. K. T. Mu toka nchi Yu.