Natabiri Rais wa taifa kubwa huko Ulaya atapumzishwa jambo la kutisha sana

Natabiri Rais wa taifa kubwa huko Ulaya atapumzishwa jambo la kutisha sana

Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye Yupo nahakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
sijui kwanini kichwa changu kimekua kigumu kuelewa siku hizi
 
Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye Yupo nahakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Huyu ni Y. K. T. Mu toka nchi Yu.
 
Putin? Sitoshangaa wenzake wakiamua kumpumzisha, he is way over his head. Ile siku kabla ya vita alimsimanga kweli spy chief wake mbele ya vyombo vya habari kisa jamaa alikuwa anaenda kinyume na script na kutaka kupendeza diplomasia zaidi.
JFK wa USA alikuwa assasinated baada ya kutaka kuifutilia mbali CIA.

Scenario hii ya Putin niliiwaza mara baada ya vikwazo kuanza.

Hao Oligarchs wakibanwa sana watamuondoa.
 
Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Hii para ya 4 inaharibu hoja yako kuwa huu ni utabiri
 
Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye Yupo nahakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Ikitokea hivyo itakuwa ahueni kwa Dunia kama vile Tzn tulivyopata ahueni japo utabiri wako by then ulichukua mda mrefu Sana.

Ila hili la Ulaya tunatamani litokee hata sasa Ili Dunia ipumue.
 
Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye Yupo nahakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.

Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.

Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.

Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen
Acha uboya ww, utabiri gani ulionao ww?
 
Hata kwa ibilisi joka kuu mlikuwa mnasema hivyo na mkimuita stone. Lakini Mungu alishuka ma utukufu wake ukawa manifested kwa kila mtu. Wanasema angukola mtu ni pale kiburi chake kinapozidi. Huyu Putin kwa sasa hili ndo anguko lake hachomoki.

Tayari ashapoteza majenerali wanne wa kutegemewa,jeshi limeshaanza kupungua morali,huko Urusi upinzani dhidi ya vita ni mkubwa,vikwazo vya kibiashara ndo hivyo vinazidi kubana na yeye bado anaamini atashinda vita hivi. Wataalamu wake wa kijasusi wamevujisha andiko kuwa walimshauri akakataa. Alimiscalculate nguvu ya Wakraine. Sasa ameshapagawa unaona sasa anashambulia raia badala ya majeshi. Mwisho wake umefika tu narudia hachomoki.
 
Back
Top Bottom