Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Mshaanza ramli zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#MimiNabisha ✊Gelentii siku ngapi tuje kufukua kaburi?
#MimiNabisha
Anatisha kuliko huyo Put in?mkuu nakubali nyuzi zako ila sasa muda mwingine unatutisha sana duh..
Mimi nilitabiri Putin atapigwa na kupinduliwa kabisaKuhusu kufa inaweza kuwa kweli ingawa ukweli hii vita Rusia atashindwa vibaya mno.
Acha uchonganishi mkuuHuyo ni Putin tu hamna mwingine 😀
HawakosekaniWaumini Wa Miungu WATU ...teh tehteh
Bora wali kuliko walimwenguHata kwa Magu mlikuwa mkibisha hivihivi mwisho akarest. Hamuelewi kwamba huwezi shindana na Dunia ukashinda.
Na anapiga karet kama jetiliiAna miaka karibu 70
Ayubu 14:1-3Hakuna mwanadamu atakayeishi milele
Ewe kizazi cha nyokaWaswahili Wanasema Dua la kuku alimpati mwewe eti,
Tufanye 120Gelentii siku ngapi tuje kufukua kaburi?
#MimiNabisha
Haa ha ha ha; tukubaliane kwanza; hi sio UNABII ila ni utashi wako; kwa maneno mengine haya ni mawazo na mapenzi yako kwamba itimie na sio unabii.Nadhani zama Hizi Mungu hadhiakiwi na ameamua kushuka nakutoa hukumu ili dunia ijifunze nakukumbuka Yeye Yupo nahakuna mwanadam au kiongozi Yeyote ana kuwa na haki kutoa roho ya mwenzake kwa wivu na uchu wa madaraka.
Siku sio nyingi Mungu anaenda kuonyesha jambo lakutisha sana jambo litaifanya dunia kukaa kimya nakumuogopa Mungu baada ya kiongozi mkubwa wataifa moja kubwa duniani kuzima akiwa usingizini. Na kifo hiko kitakuwa kifo cha shinikizo la damu na kitakuwa ghafla wakati wa usiku wa manane.
Ndugu zangu kifo hicho kita ambatana na msururu wa vifo vya majemedari na wakuu wa idara za taifa hilo jambo kila mtu atabaki kinywa wazi.
Taarifa za siri zinasema mkuu huyo amesha pewa red light na watu wakubwa na washauri wake ila moyo wake unataka kumwaga dam tu akiamini yeye ananguvu na hakuna wakumgusa... Amesahau kuwa goliati aliuwawa na kijana mbichi ambaye hakuwa na mafunzo ya kijeshi yeyote zaidi ya kuuwa dubu mwituni...
Siku zina hesabika kwa taifa hilo na kila mtu asali kwa imani yake. Amen