Natabiri tena mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri

Natabiri tena mabadiliko madogo Baraza la Mawaziri

Tutegemee mtu muhimu Kutoka benchi akiingia uwanjani.
 
Kiukweli hakuna ulicho kitabiri hapo kwa sababu zifuatazo:

1. Kwanza kwenye awamu hii mabadiliko ni jambo la kawaida sana lisilo hitaji kutumia akili kuling'amua.

2. Hata viongozi na wateule wa awamu kuanzia ya tano (5) hawalali wakifahamu kwamba wakati wowote ikimpendeze Rais hufanya mabadiliko.

3. Kwasasa siasa za hii nchi, mabadiliko ya wateule limekua jambo la kawaida sana hata sio jambo la ajabu tena kama zamani.
Hii ni sawa na kutuhadaa kwamba mvua itanyesha ndani ya wiki hii, wakati tayari ni kipindi cha masika.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kiukweli hakuna ulicho kitabiri hapo kwa sababu zifuatazo:

1. Kwanza kwenye awamu hii mabadiliko ni jambo la kawaida sana lisilo hitaji kutumia akili kuling'amua.

2. Hata viongozi na wateule wa awamu kuanzia ya tano (5) hawalali wakifahamu kwamba wakati wowote ikimpendeze Rais hufanya mabadiliko.

3. Kwasasa siasa za hii nchi, mabadiliko ya wateule limekua jambo la kawaida sana hata sio jambo la ajabu tena kama zamani.
Hii ni sawa na kutuhadaa kwamba mvua itanyesha ndani ya wiki hii, wakati tayari ni kipindi cha masika.
Hujaelewa;
Aliyotabiri hapa ni mambo makubwa mawili kwamba;
Kwanza mawairi wawili watapumzishwa na kuwekwa wengine wapya kabisa
Pili ni kwamba mabadiliko hayo yatatokea kabla ya au kufikia December 2023
Je, huu siyo utabiri?
 
Huna utabiri wowote ww muhuni. Hayo ni mambo obvious. Ni sawa na kutabiri kuwa mwaka huu watazaliwa watoto wengi wa kike na kiume.
Ametabiri muda ambao mabadiliko hayo yatatokea na pia ametaja idadi ya viongozi watakaoguswa na mabadiliko hayo. Wewe unataka utabiri uweje?
 
Back
Top Bottom