Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
AAgh wapiii..!!! Sokapoo gweee..!!Na mtaani mkuu🤣🤣🤣🥴
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AAgh wapiii..!!! Sokapoo gweee..!!Na mtaani mkuu🤣🤣🤣🥴
Wahuni wamejaa😆😆😆😆Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
Usinitag Tena mkuu
Bintì ni mwanamke kijana ila kwa 30 na ukizingatia umri wa kuishi kwa Tz ni 50 mpka 60 ukiwa na nguvu , binti ni kwa wazazi wako na watu wenye umri sawa na wazazi wako tu🤣🤣🤣🤣Na mtaani mkuu🤣🤣🤣🥴
Malizia basi majibu kwanzaUsinitag Tena mkuu
nyabanane SongambeleMimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
Nishamaliza,labda Kama unataka na figo yanguMalizia basi majibu kwanza
Hapana mkuu ,hilo neno chulaa sijafahamu kamaanisha nini 🤔 labda alimaanisha chura 🤔
30 au 37?Bado siku moja kufikia🤗
Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu.
Atakaewahi atapewa kipaumbele
Tukutane PM
Vunga.humu jf wachumba wapo,,ila wapo kmya hawajawahi comment chochote,,usijidanganye ukafatwa na hawa hadi nyuzi wameanzisha😃😃achana na hawa kina Half american watoa comments
Mchumba hatafutwi, unakutana nae tu gafla kama ajalihumu jf wachumba wapo,,ila wapo kmya hawajawahi comment chochote,,usijidanganye ukafatwa na hawa hadi nyuzi wameanzisha😃😃achana na hawa kina Half american watoa comments
Daaah 😂Vunga.
sio kwa huu mwaka wa kufosi aseeee tunatafuta popote mlipoMchumba hatafutwi, unakutana nae tu gafla kama ajali
Kigezo ni kupumua tu, changamkia tendaMbona hujaweka vigezo vya unaemhitaji sasa na hujaweka vigezo vyako
Wewe unaye wa humu?humu jf wachumba wapo,,ila wapo kmya hawajawahi comment chochote,,usijidanganye ukafatwa na hawa hadi nyuzi wameanzisha😃😃achana na hawa kina Half american watoa comments