Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]poa tu nitaishi nae kwangu akizingua namrushia vitu barabarani huko ndo atajua mwanaume uwajibikaji la sivo kuwa na adabu ule na kipofu
[emoji2] [emoji2]hawa ndo wanatuharibia nafasi zetu
wasanii haojamani nalala kesho nitaleta mrejesho halafu mnaokuja pm kwa new id Mungu anawaona mbona mimi nimekuja na id yangu ?
OK tuwasiriane basi baadae miss pm Mzee mwenzioatakaekuwa wa kwanza kunitafuta nitamfikiria zaidi labda tushindwane tu ndo nitatafuta mwingine
Mpaka leo bado huna mume na bado unakuja na vigezo uchwara.natafuta mwanaume wa kula nae uzee
miaka 38 na kuendelea.vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue
usiwe umepeana talaka na mkeo ,au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki
uwe mtu mzima mwenye kujitambua
uwe unaishi dsm mahusiano ya mbalimbali sitaki.
kama kawaida hakuna kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto .ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka
uwe tayari kupima ngoma
sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
email missnatafuta2017@gmail.com
mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
[emoji23] [emoji23]Inabidi uwe umeimarika kiuchumi kwa kauli hii shost, unaweza kumpata 40+ anakwambia mvumiliane yeye hana kitu.
mmmn nimeleta majanga hukuHukumpata mja Miss Natafuta
mmmn nimeleta majanga huku
acha tuPm au wapi majanga yamekufika?