BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
acha tu
Niite back up nini!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha tu
natafuta mwanaume wa kula nae uzee
miaka 38 na kuendelea.vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue
usiwe umepeana talaka na mkeo ,au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki
uwe mtu mzima mwenye kujitambua
uwe unaishi dsm mahusiano ya mbalimbali sitaki.
kama kawaida hakuna kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto .ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka
uwe tayari kupima ngoma
sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
email missnatafuta2017@gmail.com
mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
natafuta mwanaume wa kula nae uzee
miaka 38 na kuendelea.vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue
usiwe umepeana talaka na mkeo ,au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki
uwe mtu mzima mwenye kujitambua
uwe unaishi dsm mahusiano ya mbalimbali sitaki.
kama kawaida hakuna kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto .ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka
uwe tayari kupima ngoma
sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
email missnatafuta2017@gmail.com
mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
naomba namba ya mwakiembeMaana 38 naona utapata mume wa mtu au mgane.
Umepata mama maana siyo kwa shape yako hiyonaomba namba ya mwakiembe
naomba namba ya mwakiembe
mmmhUshachelewa Dada huyo wa Calista yupo ofisi ya mkulu wewe endelea kuchambua PM zako tu labda utapata mjane mwingine
Good lucky mamii.Natafuta mwanaume wa kula nae uzee miaka 38 na kuendelea, vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue.
Usiwe umepeana talaka na mkeo.
Au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki.
Uwe mtu mzima mwenye kujitambua.
Uwe unaishi DSM mahusiano ya mbalimbali sitaki kama kawaida hakuna.
Kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto.
Ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka uwe tayari kupima ngoma sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
Email missnatafuta2017@gmail.com
Mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
walianza lini mbona mapema?Ushachelewa Dada huyo wa Calista yupo ofisi ya mkulu wewe endelea kuchambua PM zako tu labda utapata mjane mwingine