Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
MsameheHuyo member ana utoto mwingi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MsameheHuyo member ana utoto mwingi...
😆😆😆jamaa amezingua kinoma anamsumbua dogo tangu weekend mpaka leo.....ushawahi kuona mwenye uhitaji wa kazi analazimishwa kupewa kazi??sasa ndo anachofanya huyu jamaa.Hatimae kimenuka, ndomaana mimi nilipata wasiwasi baada yakuweka Tambo... Sijui mshahara 100k na make upurupu, Mara sijui mikocheni! Yaani zile sounds za kujimwambafy![]()
.![]()
Na Pale aliposema 'ukinitumia no. Nakupigia'. Ndo alipozidi kuniaminisha kwamba hapa hatafutwi mfanyakazi, Kuna agenda nyengine ya Siri nyuma ya pazia![]()
![]()
![]()
Mzee acha porojo usipige simu tafuta mtu mwingine basi.kama uliona apokei simu uliendelea kumpigia wa nn??Fanya mambo yako aseeAisee.
Kuwa na heshima kabisa.
Tena ni vizuri ujiheshimu sana sana.
Kama ni wewe ulikuwa unataka kazi you are full ignorant.
Ulitaka nikupe kazi bila kufahamu kwako kwenu?
Sema nalinda Privacy za watu tu.
Hakikisha unanipigia kweli ahahaKumpa mdada 100K ni tambo? Maana me nyumba nazozijua wadada wanapewa 100K+
Ukinipa no nakupigia, siku hizi mitandao mingi buku yako unapewa dk kibao.
Hapa mimi nina dk kibao all nets. Lete namba nikupigie [emoji23][emoji23]
Sasa si u sort out the remaining candidates upate wa pili?
Ndo ushangae ye anakomaa na huyo m1 anataka nn .....siangalie hao wengne waliobaki.Sasa si u sort out the remaining candidates upate wa pili?
We anaetaka kazi apokei simu zako unaendeleaje kumpigia na humjui si mpotezee .....lakini jamaa tangu weekend mpaka leo asubuhi bado anampigia tu si ukuda huo.Hapa kuna kitu zaidi ya kutafutwa binti wa kazi.
We anaetaka kazi apokei simu zako unaendeleaje kumpigia na humjui si mpotezee .....lakini jamaa tangu weekend mpaka leo asubuhi bado anampigia tu si ukuda huo.
I did 🤣🤣Hakikisha unanipigia kweli ahaha
0715270707
Nipigie yangu itapokelewa 0693007000I did 🤣🤣
Haijapokelewa
Kapokea mbaba 😆Nipigie yangu itapokelewa 0693007000
🤣🤣🤣🤣.Kapokea mbaba 😆
Ana sauti nzuri, na anaongea vizuri mno 🤣 nimemwambia nitampigia badae.🤣🤣🤣🤣.
😂😂Hiyo baadae utakutana na sauti ya mkewe..kitakachokukuta simooAna sauti nzuri, na anaongea vizuri mno 🤣 nimemwambia nitampigia badae.