Natafuta Binti (Dada wakusaidia Kazi) Awe na Sifa hizi

Natafuta Binti (Dada wakusaidia Kazi) Awe na Sifa hizi

Status
Not open for further replies.
[emoji38][emoji38][emoji38]jamaa amezingua kinoma anamsumbua dogo tangu weekend mpaka leo.....ushawahi kuona mwenye uhitaji wa kazi analazimishwa kupewa kazi??sasa ndo anachofanya huyu jamaa.

Mzee acha porojo usipige simu tafuta mtu mwingine basi.kama uliona apokei simu uliendelea kumpigia wa nn??Fanya mambo yako asee
Unajua kukuza mambo sana.
Halafu nilijua wewe ni mdada kwa style ulivyo react hapa.
Utakuwa unashida sana.

Good thing simu zote nilizopiga kwa ajili ya hii kazi nimezirecord kwa ajili ya reference.
Nimesema pale mwanzoni.
Naheshimu sana Privacy.

Worse hapa unaudanganya umma.
Nimechagua kukupuuza.
 
Acha hizo wee! mzeee wewe unataka demu tu!! unajifanya unawapa inter view kuumbe unatafute mke atakaye kufaa! NA km akikuta maisha poa unaoa kabisaaa habari zako tunazo ukibisha tutakuja siku na saa usizo jua!!

Hapa JF mademu maafisa usalama wamo humu wadogodogo tu !! usidhani humu hawapitipiti shauri yako! siku wakikunyanyua Tanganyika jeck na huyo house girl wako humkuti nyumbani wee jipendekeze tu na akili yako ya kijijini hiyo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom