nkandereni
Member
- Sep 24, 2013
- 6
- 8
Kula like mkuuKila la kherii na upate hitajio la moyo wako.
Ila hujanipa like mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa kwenye elimu ya chuo una maana ipi kati ya vocation training or college's na University?Habari wadau
Natafuta company ya mkaka ambayo kama tukielewana italeta mahusiano ya kudumu.
Mimi ni:
Mwanamke umri 33-35
Mkristo
Elimu ya chuo
Mfanyakazi
Mcha Mungu
focused
loving and caring
mkaka awe:
umri 33-38
Mkristo
Awe na hofu ya Mungu
Anayejishughulisha kutafuta kipato
Elimu angalau chuo
Mwenye moyo wa upendo na huruma.