Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,858
- 14,733
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasemaje?Wenye mioyo migumu utawapata...
Mimi toka nikutane na kazi moja huku,uso hauonekani umeanzia wapi,nywele zimeungua,macho yapo kama wale wabibi wanaopewaga shutma za uchawi kwenye baadhi ya vijiji.....nilikoma aosee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bango hilo changamkia fulsa hiyo mzee wangu kikubwa upendo na uchamungu ndio naona muhimu hapo.
Haaa haaaa kama huna hofu ya Mungu unaweza kutoa roho ya mtuVigezo vyote ninvyo kasoro
1.hofu ya mungu sina
2.umri uko chin kidogo
naona ule uzi umegeuka na kuwa wa kujimwambafy.
Kwa mfano wew niwe na sifa zipi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aah
Ant fungal mkubwa weweUkikutana nao wakiwa kwenye umri kuanzia miaka 20 mpaka 28 wanajiona dunia yote wameumbiwa wao wanata na kuringa hatarii .....
Sasa subiri wawe above 30 utasikia yoyote tu namuhitaji kikubwa uhai tuu [emoji57][emoji57]
Habari wadau
Natafuta company ya mkaka ambayo kama tukielewana italeta mahusiano ya kudumu.
Mimi ni:
Mwanamke umri 33-35
Mkristo
Elimu ya chuo
Mfanyakazi
Mcha Mungu
focused
loving and caring
mkaka awe:
umri 33-38
Mkristo
Awe na hofu ya Mungu
Anayejishughulisha kutafuta kipato
Elimu angalau chuo
Mwenye moyo wa upendo na huruma.