Natafuta company ya mkaka ambayo italeta mahusiano serious

Natafuta company ya mkaka ambayo italeta mahusiano serious

Ukikutana nao wakiwa kwenye umri kuanzia miaka 20 mpaka 28 wanajiona dunia yote wameumbiwa wao wanata na kuringa hatarii .....

Sasa subiri wawe above 30 utasikia yoyote tu namuhitaji kikubwa uhai tuu [emoji57][emoji57]
 
Tatizo la wadada wengi wa jf wazinguaji unamfata pm vigezo vyote unavyo ......mnaanza kuchata na kubadilishana number

Kumbe keshawakubalia zaidi ya wa watatu anaangalia yupi mwenye kingi , anayetoa sana jina halisi atakuficha siku unakuja kulijua jina lake siku unataka kumtumia pesa , Tigo,mpesa au Tpesa ndio jina kamili unalifahamu

Muda mwingi mpk umuuanze wewe usipomuanza mtakaa hata mwezi ,

Nilikuwa serious sana kutafuta mwezi wa maisha ila naona ni kujichosha tu !! Hamna lolote utoto bado ni mwingi kwa wengi

sent from toyota Allex
 

Sent using Jamii Forums mobile app
huu uzi wake ni wa kitambo,itakua kweli huyu mwamba ana 33-35

anaonekana yuko serious huyu,maana hata muandiko ni anaonyesha kachoka

halafu anapenda neno "focused" sijui nani alimfundisha,kalinasa kweli kweli.
 
Wenye mioyo migumu utawapata...

Mimi toka nikutane na kazi moja huku,uso hauonekani umeanzia wapi,nywele zimeungua,macho yapo kama wale wabibi wanaopewaga shutma za uchawi kwenye baadhi ya vijiji.....nilikoma aosee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo la wadada wengi wa jf wazinguaji unamfata pm vigezo vyote unavyo ......mnaanza kuchata na kubadilishana number

Kumbe keshawakubalia zaidi ya wa watatu anaangalia yupi mwenye kingi , anayetoa sana jina halisi atakuficha siku unakuja kulijua jina lake siku unataka kumtumia pesa , Tigo,mpesa au Tpesa ndio jina kamili unalifahamu

Muda mwingi mpk umuuanze wewe usipomuanza mtakaa hata mwezi ,

Nilikuwa serious sana kutafuta mwezi wa maisha ila naona ni kujichosha tu !! Hamna lolote utoto bado ni mwingi kwa wengi

sent from toyota Allex

duuh
 
Vigezo vyote ninvyo kasoro
1.hofu ya mungu sina
2.umri uko chin kidogo
 
Wenye mioyo migumu utawapata...

Mimi toka nikutane na kazi moja huku,uso hauonekani umeanzia wapi,nywele zimeungua,macho yapo kama wale wabibi wanaopewaga shutma za uchawi kwenye baadhi ya vijiji.....nilikoma aosee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenifurahisha kweli
 
Back
Top Bottom