Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa haa haa mkuu kula like tena, kumbe hili jimbo sio jipya!!Ila hujanipa like mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hili jimbo langu lishapata mwakilishi toka mwaka jana..
Mbavu zangu!!!Wenye mioyo migumu utawapata...
Mimi toka nikutane na kazi moja huku,uso hauonekani umeanzia wapi,nywele zimeungua,macho yapo kama wale wabibi wanaopewaga shutma za uchawi kwenye baadhi ya vijiji.....nilikoma aosee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa tayari tayari mkuu hivyo ni vigezo vya awali. Utakumbukwa kwenye chaguo linalofuata baada ya hili kupitaOhoo !!!!! Nmekosa rafiki kwa kigezo Cha umri ,sisi wa 27 hata chaguo la pili hatuingii mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye mioyo migumu utawapata...
Mimi toka nikutane na kazi moja huku,uso hauonekani umeanzia wapi,nywele zimeungua,macho yapo kama wale wabibi wanaopewaga shutma za uchawi kwenye baadhi ya vijiji.....nilikoma aosee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
nipo mbona, ujanitafuta tu.
huu uzi wake ni wa kitambo,itakua kweli huyu mwamba ana 33-35im confused.....nisaidieni wadau
habari za ijumaa wadau..........nina janga linanisumbua naomba mnisadie kwa ushauri plz......ni kwamba nina mahusiano na kaka mmoja na uhusiano haujafika mwaka, ni mtu ambaye tulipendana sana na daima nilikuwa nina furahia kuwa nae naye......siku za hivi karibuni amebadilika sana na nikimuuliza...www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
naona ule uzi umegeuka na kuwa wa kujimwambafy.
naona ule uzi umegeuka na kuwa wa kujimwambafy.
Wenye mioyo migumu utawapata...
Mimi toka nikutane na kazi moja huku,uso hauonekani umeanzia wapi,nywele zimeungua,macho yapo kama wale wabibi wanaopewaga shutma za uchawi kwenye baadhi ya vijiji.....nilikoma aosee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la wadada wengi wa jf wazinguaji unamfata pm vigezo vyote unavyo ......mnaanza kuchata na kubadilishana number
Kumbe keshawakubalia zaidi ya wa watatu anaangalia yupi mwenye kingi , anayetoa sana jina halisi atakuficha siku unakuja kulijua jina lake siku unataka kumtumia pesa , Tigo,mpesa au Tpesa ndio jina kamili unalifahamu
Muda mwingi mpk umuuanze wewe usipomuanza mtakaa hata mwezi ,
Nilikuwa serious sana kutafuta mwezi wa maisha ila naona ni kujichosha tu !! Hamna lolote utoto bado ni mwingi kwa wengi
sent from toyota Allex
Umenifurahisha kweliWenye mioyo migumu utawapata...
Mimi toka nikutane na kazi moja huku,uso hauonekani umeanzia wapi,nywele zimeungua,macho yapo kama wale wabibi wanaopewaga shutma za uchawi kwenye baadhi ya vijiji.....nilikoma aosee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app