barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Nikawa natafakari the whole days, hiyo hela kiasi gani?[emoji41][emoji41][emoji41]Uwe na hela, Yaani hela [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikawa natafakari the whole days, hiyo hela kiasi gani?[emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamn sio poaUshafanya matusi mara ngapi? pia idadi ya wanaume ni wangapi!, ili tujue uchakavu.
Habari wadau
Natafuta company ya mkaka ambayo kama tukielewana italeta mahusiano ya kudumu.
Mimi ni:
Mwanamke umri 33-35
Mkristo
Elimu ya chuo
Mfanyakazi
Mcha Mungu
focused
loving and caring
mkaka awe:
umri 33-38
Mkristo
Awe na hofu ya Mungu
Anayejishughulisha kutafuta kipato
Elimu angalau chuo
Mwenye moyo wa upendo na huruma.
Habari wadau
Natafuta company ya mkaka ambayo kama tukielewana italeta mahusiano ya kudumu.
Mimi ni:
Mwanamke umri 33-35
Mkristo
Elimu ya chuo
Mfanyakazi
Mcha Mungu
focused
loving and caring
mkaka awe:
umri 33-38
Mkristo
Awe na hofu ya Mungu
Anayejishughulisha kutafuta kipato
Elimu angalau chuo
Mwenye moyo wa upendo na huruma.