Clotrimazole cream na antibiotic yeyote inatosha.Natumain ni wazima wa afya kwa mtu yeyote anaweza nisaidia jina la dawa na sehemu ya kuipata kuondoa michubuko sehemu ya haja kubwa pembeni ule utandu utandu wote uondoke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clotrimazole cream na antibiotic yeyote inatosha.Natumain ni wazima wa afya kwa mtu yeyote anaweza nisaidia jina la dawa na sehemu ya kuipata kuondoa michubuko sehemu ya haja kubwa pembeni ule utandu utandu wote uondoke
NimeachaHIVI WEWE UMEACHA AU PROMO?
Sawa nitashukruPole sana mkuu nakupa mtu umcheki akusaidie dawa.
Sawa nitazitafutaClotrimazole cream na antibiotic yeyote inatosha.
Sipo hapa kumuaminisha mtu nipo hapa kutafuta dawa ya kuondoa hio michubukoSiwezi kuhamini
yaan unaonekana kabisa ww ndio michezo yako, na umeshazoea na unaipenda, yaan hadi unapata michubuko
pole sana
Ila kaka hakikisha kweli umeacha.Sawa nitazitafuta
Umejuaje huo utandu itakuwa sehemu ya maisha yangu au na ww unayo huo utandu utanduUjinga wa marinda, yakitatuliwa ndio nitolee tena.
Huo utandu utandu ni sehemu ya maisha yako mpaka kuzimu.
Kupumuliwa kisogoni upumuliwe wewe halafu na kupaniki juu.Umejuaje huo utandu itakuwa sehemu ya maisha yangu au na ww unayo huo utandu utandu
Nimeacha pia najitahidi kufuata maelekezo ya watu walinisaidia kipind cha nyuma nilivoelezea tatizo langu naamini mungu atanisaidiaIla kaka hakikisha kweli umeacha.
Unaweza ukabadilika kuwa mwanaume kamili na mwanaume bora pia.
Unaweza ukaishinda hiyo hali na ukawa na mwanamke pia.
Basi Mungu akuongoze kwa hilo.Nimeacha pia najitahidi kufuata maelekezo ya watu walinisaidia kipind cha nyuma nilivoelezea tatizo langu naamini mungu atanisaidia
Sijakuomba wala kukuforce u comment kwenye uzi huu kama huna cha kusema ni bora ungekaa kimyaKupumuliwa kisogoni upumuliwe wewe halafu na kupaniki juu.
Kwenda huko.
AsanteBasi Mungu akuongoze kwa hilo.
Hapana haviwashiHii inasababishwa na kipere au vipele vidogo vidogo na vinakuwa vinawasha sana au ww tatizo lipoje
😂😂 nimeamua hadi kucheka namshukuru mungu ananipambania naanza kuona mabadilikoLaana zimeanza kukutafuna sasa,
Ni Mungu sio mungu sawa?😂😂 nimeamua hadi kucheka namshukuru mungu ananipambania naanza kuona mabadiliko