Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😄😄 gari ya shamba, kwa iyo pesa unapata brevis iliyokaza sema nikutafutie uniachie hata jiwe 2...Rv4 me yann [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MpyaMpya au used
X-trailWewe umekariri, kwani unaongelea x-tray za mwaka 2000 zilizokuwa zinasumbua mfumo wa umeme; kuanzia 2nd generation na kuendelea kwa wanaojua magari x-tray ni nzuri na imara sana (heavy duty); Huwezi kulinganisha uimara wake na Rav 4. Unaweza kuifanyia x-tray service kubwa mara moja kwa mwaka; Peleka rav 4 shambani; kila mwezi upo garage...... Endelea kukariri
Hii ni namba D or C ,Mkuu?Tafuta ml 6.5 nkuachie mark x black kali ukiwa tayari nicheck mzee
Boss kwa uelewa wangu mdogo kwa bajeti hii unaweza ukabahatisha gari lakini changamoto ni kwamba anagalia usije ukapata gari ya week moja gerage week inafuata barabarani.NINA 4,000,000
NIPE MOJAWAPO 👇
Nissan extrail, alteza, markx , mark2 markX, brevis
Ilikuaje ile mkuu uliuza au bado ipoNishawah kuwa nayo so Nissan extrail nazijua vzr boss
Passo ni nini wadauHili jina lako likitamkwa na MSUKUMA Lina vutia..
Back to the topic
Jamaa aongeze 1m iwe 5m nimwachie passo namba D
Huu ndo ukweli kama unabisha bonyeza #[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukiwa na hizo gari (Brevis, Mark X, Extrail) halafu utake kuiuza ndio utajua kuna gari ya milioni 4. Mbaya zaidi uwape madalaliUna hakika kwa hela hiyo unahitaji gari au punda?