Natafuta girlfriend wa kupanga nae maisha

Natafuta girlfriend wa kupanga nae maisha

Depal, sikatai Vikings, ila viwe reasonable, mfano, Luna KE anaomba ela ya makeup 30 every week, kodi ya nyumba 150 every month, kuvaa atumie 100 per month, acha kula na mambo mengine mdogo. Asa huyo mke au chuma ulete, ukiwa nae usitegemee kumake in life. Na ukikosa pesa sio wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Doh pole sana. Huko sasa ni kuzidi
 
Nimechoka mawasiliano ya pm.
Tatizo huyu naye mbahili nikimuomba mtaji wa mashuka atakuja niwekea post humu.
Bora niendelee kutafuta.
Jamani miminimama natafuta mwenza.
Achilia Mbali ubahiri wake mkamate msukule wako MoroGent ukahangaike nae. Huyu Yuk Serious kama ulivyo Wewe kajaribianane nawasihi na hata mrejesho msilete [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ni mara chache sana tena sana kupata serious relation hapa jf.
Yaani chance ya kupata mwenzi hapa jf ni moja kwa mia, ni hivi watu mia watatafuta mchumba hapa ila mmoja ndie atafanikiwa, na kufanikiwa kwake si moja kwa moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipataga mmoja na tulikuwa wote kwa muda flani alikuwa na Kaz yake nzuri tu na had kwake nilifika .she is beautiful na vigezo anavyo changamoto ikawa dini

Hakutaka badili kutoka usabatoni ila all in nikambless now Yuko katika ndoa

Na nilifika katika ndoa ila zawad niliyo mpa mpaka leo akinitext huwa aachi neno " you deserve"

Kuna kipind alifikia kuniambia " second child anahtaji toka kwangu" nikakataaa

kilicho akilini kitumie
 
Nilipataga mmoja na tulikuwa wote kwa muda flani alikuwa na Kaz yake nzuri tu na had kwake nilifika .she is beautiful na vigezo anavyo changamoto ikawa dini

Hakutaka badili kutoka usabatoni ila all in nikambless now Yuko katika ndoa

Na nilifika katika ndoa ila zawad niliyo mpa mpaka leo akinitext huwa aachi neno " you deserve"

Kuna kipind alifikia kuniambia " second child anahtaji toka kwangu" nikakataaa

kilicho akilini kitumie
ndio maana nikasema waliofanikiwa hawakufanikiwa moja kwa moja.

nikitu gani ulimpa mkuu mpaka hakusahau.
 
Habari wananzengo,
Hii ni mara ya 3 nafikiri kuandika uzi kutafuta mwanamke wa kuwa nae kwene mahusiano, nafikiri toka 2018.
Changamoto nikipata humu jf, ni kwamba KE wengi hawakunifuata PM except I wawili, alinifuata then akapotea with no more reply, mwingine alinipm ila hakuwa na nia ya kuwa na mm, in fact alichat na mm kwa conversations ya kawaida tu hakuwa na interest ya kuwa na mahusiano nafikiri ana mtu tayari, alikuwa naniincourage tu. KE wanaotoa nyuzi kutafuta wachumba ME, nikiwapm huwa hawajibu kabsa au anarepply with no seriousness anapita.
Leo narudi, kutafuta tena alipe tayari, kwa sasa nina miaka 30, nimehamia Iringa kikazi tu from Dodoma nilikokuwa, sina mtoto, nipo tayari kuwa na relationship moja meaningful na serious kwa ajili ya kujenga familia maisha generally.
Changamoto ya KE ninaokutana nao kitaa wanakuwa too much dependent, mizinga na hawapo serious kuwa na ME mmoja for the life, wengine hunikataa kusema ukweli koz I can't invest somewhere I am not sure with endless love and willingness.
Nafikiri hili nitakuwa bango la mwisho, baada ya hapo I will wait for God, maybe there is a reason behind why I don't get one.
Nawasilisha wakuu.View attachment 1401120

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo morogoro umeshindwa opoa?

Huenda ulikuwa unachagua sana[emoji23]

Hata makanisani?

Kuna mahala unakwama



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mchumba mambo yakiwa magumu huko ujue ni magumu kila mahali.
 
Back
Top Bottom