Doh pole sana. Huko sasa ni kuzidiDepal, sikatai Vikings, ila viwe reasonable, mfano, Luna KE anaomba ela ya makeup 30 every week, kodi ya nyumba 150 every month, kuvaa atumie 100 per month, acha kula na mambo mengine mdogo. Asa huyo mke au chuma ulete, ukiwa nae usitegemee kumake in life. Na ukikosa pesa sio wako
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] em changamkia fursaHaya njoo tuzoeane [emoji3]
Sasa ninyi Wawili si mfanye kweli Au [emoji851]Natafuta toka mwaka 2017.
Humu wengi wanataka kishimo tu si mahusiano nimejikuta hata pm mvivu kujibu
Ndio nimeanza juhudi 😂😂😂
Hahaa all the best, mrejesho muhimu.Ndio nimeanza juhudi [emoji23][emoji23][emoji23]
Nitaleta mrejesho
Sasa ninyi Wawili si mfanye kweli Au [emoji851]
.
miminimama Vs MoroGent
Wote Mnatafuta Mwenza mkayajenge PM Sasa
Tena Mnalingana Sasa [emoji3][emoji3]
Na tako lote lile umekosa baby dady tokea 2017?!!Nimechoka mawasiliano ya pm.
Tatizo huyu naye mbahili nikimuomba mtaji wa mashuka atakuja niwekea post humu.
Bora niendelee kutafuta.
Jamani miminimama natafuta mwenza.
Achilia Mbali ubahiri wake mkamate msukule wako MoroGent ukahangaike nae. Huyu Yuk Serious kama ulivyo Wewe kajaribianane nawasihi na hata mrejesho msilete [emoji38][emoji38][emoji38]Nimechoka mawasiliano ya pm.
Tatizo huyu naye mbahili nikimuomba mtaji wa mashuka atakuja niwekea post humu.
Bora niendelee kutafuta.
Jamani miminimama natafuta mwenza.
Nilipataga mmoja na tulikuwa wote kwa muda flani alikuwa na Kaz yake nzuri tu na had kwake nilifika .she is beautiful na vigezo anavyo changamoto ikawa diniNi mara chache sana tena sana kupata serious relation hapa jf.
Yaani chance ya kupata mwenzi hapa jf ni moja kwa mia, ni hivi watu mia watatafuta mchumba hapa ila mmoja ndie atafanikiwa, na kufanikiwa kwake si moja kwa moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Avatar na jina itakua vinakupeperushia ndege mkuuDah...Kama mimi mwaka huu tu nimetuma pms 754...sijajibiwa hata moja...dah[emoji2960]
Sent using Beretta ARX 160
ndio maana nikasema waliofanikiwa hawakufanikiwa moja kwa moja.Nilipataga mmoja na tulikuwa wote kwa muda flani alikuwa na Kaz yake nzuri tu na had kwake nilifika .she is beautiful na vigezo anavyo changamoto ikawa dini
Hakutaka badili kutoka usabatoni ila all in nikambless now Yuko katika ndoa
Na nilifika katika ndoa ila zawad niliyo mpa mpaka leo akinitext huwa aachi neno " you deserve"
Kuna kipind alifikia kuniambia " second child anahtaji toka kwangu" nikakataaa
kilicho akilini kitumie
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi sijui nakwama wapi mbona situmiwi hizi nauli [emoji134][emoji134]
Hapo morogoro umeshindwa opoa?Habari wananzengo,
Hii ni mara ya 3 nafikiri kuandika uzi kutafuta mwanamke wa kuwa nae kwene mahusiano, nafikiri toka 2018.
Changamoto nikipata humu jf, ni kwamba KE wengi hawakunifuata PM except I wawili, alinifuata then akapotea with no more reply, mwingine alinipm ila hakuwa na nia ya kuwa na mm, in fact alichat na mm kwa conversations ya kawaida tu hakuwa na interest ya kuwa na mahusiano nafikiri ana mtu tayari, alikuwa naniincourage tu. KE wanaotoa nyuzi kutafuta wachumba ME, nikiwapm huwa hawajibu kabsa au anarepply with no seriousness anapita.
Leo narudi, kutafuta tena alipe tayari, kwa sasa nina miaka 30, nimehamia Iringa kikazi tu from Dodoma nilikokuwa, sina mtoto, nipo tayari kuwa na relationship moja meaningful na serious kwa ajili ya kujenga familia maisha generally.
Changamoto ya KE ninaokutana nao kitaa wanakuwa too much dependent, mizinga na hawapo serious kuwa na ME mmoja for the life, wengine hunikataa kusema ukweli koz I can't invest somewhere I am not sure with endless love and willingness.
Nafikiri hili nitakuwa bango la mwisho, baada ya hapo I will wait for God, maybe there is a reason behind why I don't get one.
Nawasilisha wakuu.View attachment 1401120
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukaoge maji ya bahari auntie.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi sijui nakwama wapi mbona situmiwi hizi nauli [emoji134][emoji134]