Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
mi nlituma hadi nauli nkapigwa humu kuna vidume vina id ya kike vinaomba nauli si mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na tako lote lile umekosa baby dady tokea 2017?!!
Sasa sisi flat screen itakuwaje Shunie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Achilia Mbali ubahiri wake mkamate msukule wako MoroGent ukahangaike nae. Huyu Yuk Serious kama ulivyo Wewe kajaribianane nawasihi na hata mrejesho msilete [emoji38][emoji38][emoji38]
Aende wapi? Kwani hapa ni wapi?Nenda jf kule ndo forum ya vijana, na kuna jukwaa la wachumba kule watu limewasaidia saana na wengine hadi hurudi kutoa ushuhuda jinsi walivyopatana kupitia fb na wanamaisha ya upendo. Huku wengi ni wazee/wako aged na ni wababaishaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikueleweshe kwa voicemailSijui hata umeandika nini 😂
Kwakweli auntie tukaoge tu hakuna namnaTukaoge maji ya bahari auntie.
Sawa mkuu niko nasubiri
HayaMwongo, nilikutumia laki moja ili utoke mikocheni kwa Batengazi hadi kwetu buza na hukutokea
Haya Aisee
.
So una mpango gani
Mana PM umezichoka
Habari wanajukwaa, natumai wote ni wazima,
Naeomba niende kwene point direct, ni kwa muda sasa nimekaa na kutafakari kuwa siwezi kuendelea kuwa single kutoka mwaka huu,nimefanya juhudi za kutafuta msichana wa kuwa nae lakin kila ninae mface anadai ana mtu na mwinginge hayupo tayari,
Hivyo nimekuja jukwaani hapa kutafuta mdada atakae kuwa serious anatafuta mwanaume anaejielewa ili kupanga maisha, mm ni kati ya wanaoamini JF ni sehemu ambapo watu wengi ni great mind na wanajielewa, hivyo naamini naeza kupata mtu sahihi tukapendana na akapata heshima anayoihitaji na kutimiza ndoto ya mwanaume ambae amekuwa akimuomba Mungu siku zote.
Nina miaka 27, naishi morotown, amabaye yupo serius karibu PM.
Naomba kuwasilisha.
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Shemeji nakutafuta.[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Aisee me nadhan ubadirishe lifestyle na marafiki itasaidia pengine.Nishauri wewe