Natamani nikupambanie huku vijijini kwenye vishule binafsi ila najua sitasita kukutongoza kitu ambacho roho yangu haitaki kufanya kwasasaHabari za wakati huu wakuu..?
Mimi ni binti wa 20's..nimemaliza chuo Mwaka huu Bsc with Education(Biology and Chemistry)
Nimekuja kwenu wana jamvi kuomba kazi ama sehemu ya kufanya kwa kazi hususani kufundisha masomo taja hapo juu...
kwa mtu yeyote aliye na connection ya shule inayohitaji mwalimu wa masomo taja usisite kuniunganisha..
CV na mawasiliano yangu vikihitajika nakutumia PM...
Napatikana mbeya mjini
Jamani kwani si hii nchi ni huru n pis kuna freedom of expression ?msaidie mtoto wewe tamaa tu kwaiyoo utaki kumsaidia kwa sababu utamtongoza
asanteh kwa ushauriKilaaa la heri ...masomo mazuri alafu bint...aza kutembelea shule kadhaa za hapo hasa private za gvt utaambulia chai kavu...KAMWE USKUBALI KUJITOLEA UTAPOTEZA MDA ....
Jaribu kuomba pale "Vanessa secondary school" ipo isyesyeHabari za wakati huu wakuu..?
Mimi ni binti wa 20's..nimemaliza chuo Mwaka huu Bsc with Education(Biology and Chemistry)
Nimekuja kwenu wana jamvi kuomba kazi ama sehemu ya kufanya kwa kazi hususani kufundisha masomo taja hapo juu...
kwa mtu yeyote aliye na connection ya shule inayohitaji mwalimu wa masomo taja usisite kuniunganisha..
CV na mawasiliano yangu vikihitajika nakutumia PM...
Napatikana mbeya mjini
Nimekucheck pm mkuuJaribu kuomba pale "Vanessa secondary school" ipo isyesye
Nina Vijana wangu wapo Wawili mapacha ila ni Standard 1 pale MAGUFULI , kama uko tayari naomba uje uwafundishe kwa ule muda wa ziada hapa Nyumbani na kuhusu malipo ni makubaliano [emoji1488][emoji1488]..Habari za wakati huu wakuu..?
Mimi ni binti wa 20's..nimemaliza chuo Mwaka huu Bsc with Education(Biology and Chemistry)
Nimekuja kwenu wana jamvi kuomba kazi ama sehemu ya kufanya kwa kazi hususani kufundisha masomo taja hapo juu...
kwa mtu yeyote aliye na connection ya shule inayohitaji mwalimu wa masomo taja usisite kuniunganisha..
CV na mawasiliano yangu vikihitajika nakutumia PM...
Napatikana mbeya mjini
Ngono ngono.....Jamani kwani si hii nchi ni huru n pis kuna freedom of expression ?
Najieleza mimi kama mimi
Anyway ukiweza kunihimili nitafute inbox
Hyo kazi si ya watu wa degreeKudai madeni sugu unaweza?
Ni ya watu gani? Unajua recovery officers wa banks wana elimu gani?Hyo kazi si ya watu wa degree
Kazi ya kukimbizana na waden ipasavyoNi ya watu gani? Unajua recovery officers wa banks wana elimu gani?
Kweli we evilspirit😆😆😆Tako lipo huko nyuma,paja vipi nene jeupe? kama majibu bi ndio kazi umeshapata binti ondoa wasiwasi
Evil spirit kama jina lako lilivyo. NonsenseTako lipo huko nyuma,paja vipi nene jeupe? kama majibu bi ndio kazi umeshapata binti ondoa wasiwasi