Abdul Ghafur
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 610
- 749
Njoo Abraar Education Centre kibaha, tunahitaji mafundi ujenzi.
Kwetu hapa unaanza kwa kupata mwelekeo (orientation) wa wiki mbili kwa kua vifaa vyetu vya ujenzi ni aina ya kipekee sio kama vilivyozoeleka. Kama ni fundi ujenzi mzoefu utapata ujuzi mpya baada ya muda mchache sana (kutegemea na juhudi yako) unakua fundi kamili wa vifaa aina mpya vya ujenzi.
Pia tunachukua wanafunzi watakaopenda kujifundisha ujenzi kwa vitendo, wanaanzia kwa kujifunza kuunda vifaa vya ujenzi kwa siku mbili mpaka tatu kwa kila kifaa.
Ni mpango wa kipekee Tanzania hii, vijana changamkieni fursa.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa whatsapp 0625249605.
Abdul Ghafur
Kwetu hapa unaanza kwa kupata mwelekeo (orientation) wa wiki mbili kwa kua vifaa vyetu vya ujenzi ni aina ya kipekee sio kama vilivyozoeleka. Kama ni fundi ujenzi mzoefu utapata ujuzi mpya baada ya muda mchache sana (kutegemea na juhudi yako) unakua fundi kamili wa vifaa aina mpya vya ujenzi.
Pia tunachukua wanafunzi watakaopenda kujifundisha ujenzi kwa vitendo, wanaanzia kwa kujifunza kuunda vifaa vya ujenzi kwa siku mbili mpaka tatu kwa kila kifaa.
Ni mpango wa kipekee Tanzania hii, vijana changamkieni fursa.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa whatsapp 0625249605.
Abdul Ghafur