Captain 22175
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 249
- 407
Hahaha mkuu mbona kama umepanikPole yanini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mkuu mbona kama umepanikPole yanini?
Sijawahi kutumia inbox,unaposema sina inbox una maanisha nini? coz kialama cha bahasha kipo hapo juu,nikikifungua kinaandika You have na recent conversations.Kuna habari nilitaka nikuulizie(unisanue) unipe majibu ila inbox huna
Nadhan hujaruhusu mtu akaanzisha conversation nawe coz imenigomea kabisaSijawahi kutumia inbox,unaposema sina inbox una maanisha nini? coz kialama cha bahasha kipo hapo juu,nikikifungua kinaandika You have na recent conversations.
Sina ujuzi kabisa na hiyo kitu.Nadhan hujaruhusu mtu akaanzisha conversation nawe coz imenigomea kabisa
DaaahSina ujuzi kabisa na hiyo kitu.
Kazi ganiUlishapata kaz kwan
huyo ni mtu mmoja wale isikushangazeDaaah
Pamoja mkuuJf ni kijiji, utapata hitaji lako
Mungu mwemaKila la kheri mkuu
Uwinga unauweza mzee baba!? introvertKwema wanajukwaa natumai mko njema
Jina naitwa makolelo mkazi wa kimara
Elimu degree
Uzoefu miaka 3
Lengo la uzi huu ni kuomba nafasi ya kazi kwenye maduka yoyote Kariakoo au sehemu yoyote
Na uzoefu wa kazi ya kuuza duka la viatu
Godown personel store keeper na cashier
Au kama wewe ni winga kariakoo naomba unipokee kunionyesha njia tu
Msaada please
Mawasiliano: 0657710078