Natafuta kazi, nimesoma Bachelor of Finance na uzoefu mwingi
HELLO,

I am Richy Patrick, Aged 26.

Residency Dar es Salaam

Aim am looking for job in any reputable company

Am experienced in the following fields:
  • Office Administrative
  • Business Management Sales Officer
  • Warehouse Manager
  • Storekeeper
  • Personal Secretary
  • Project Supervisor
  • Fleet Manager
I have two years experience

Contact: 0745000157
Two years experience in which field or both of them you did at same time?
 
Yani wakati mwingine kusoma mimzigo kwahiyo unafikiri wote wanaotoa ajira wanajua ngere siku hizi maarifa zaidi ndowatu wanataka kalaga baho
 
Hivi mnajua maana ya kazi yeyote?

Manake kazi yeyote zipo nyingi
Na huitaji kuajiriwa..

Huoni wenzio wanao osha wamama miguu??
Hizo ndo moja ya kazi yoyote..

Ukiwa serious utaifanya bila kusubiri kuajiriwa
 
Hivi mnajua maana ya kazi yeyote?

Manake kazi yeyote zipo nyingi
Na huitaji kuajiriwa..

Huoni wenzio wanao osha wamama miguu??
Hizo ndo moja ya kazi yoyote..

Ukiwa serious utaifanya bila kusubiri kuajiriwa
 
Jina: Villanova Patrick
Ujuzi: Steel fixer (fundi nondo)
Uzoefu: Miaka 2
Makazi: Dar es Salaam

Wanajukwaa natafuta kazi sekta ya ujenzi ujuzi wang ni fundi nondo kwenye project mbalimbali kama ujenzi wa madaraja culvert box maghorofa mitaro ya maji.

Mawasiliano 0745000157
Njoo uongeze fani na wakati huohuo ufundishe wengine uyajuayo.

 
Majina naitwa Richard makoi
Umri 25
Mkazi dar es salaam
Elimu diploma of finance
Nakuja kwenu kutafuta msaada wa kupata kazi ajira kibarua
Na uzoefu wa miaka mitatu katika katika field zifuatazo
Cashier
Project supervisor
Municipal revenue collector
Foreman civil works
Niko dar es salaam
Contact 0657710078
 
Back
Top Bottom