Natafuta kazi, nimesoma Bachelor of Finance na uzoefu mwingi
Wanajukwaa msaada,

Nimekuja mbele yenu natafuta kazi Mahala popote nifanye kujikizi na Hali ngumu ya maisha. Baada ya kubomolewa banda langu LA umachinga lililokuwa mwenge nikijihusisha na kuuza mitumba ya kike kwa Sasa niko nyumbani.

Na uzoefu na kazi zifuatazo
  • Store keeper
  • Cashier
  • Shopkeeper
  • Supervisor

Mawasiliano 0657710078
Niko Dar es Salaam
Hebu jaribu biashara yako kuihamishia kwenye social medias. Nawaza tu hapa 🤔 japo Mambo si mepesi . Anyways Kila la heri.
 
Pole sana mkuu, ila sijaona ulichopoteza labda iwe ulikua tu ukifanya kazi ya mtu..
Ila kama ilikua biashara yako mwenyewe unaweza kuifanyia online na ukapata wateja na ukaendesha maisha..

Piga picha bidhaa zako weka status na pages zako za social media.. weka bei na mawasiliano yako.

Kila la kheri Mungu akusimamie🙏
 
Jina: Titus
Mkazi: Tegeta DSM
Umri: 26
Elimu: kidato cha sita

Kwema wana jukwaa nimekuja mbele zenu kijana wenu sina kazi kwa sasa baada na kuathiriwa na zoezi la kuhamisha wamachinga ambapo nilikuwa nauza bidhaa za mtu na kujilipa hapo hapo na uzoefu na kazi zifuatazo:
  • Store keeper
  • Sales
  • Fleet management
  • Ujenzi fundi nondo
  • Uchimbaji visima
Napatikana DSM

Mawasiliano 0657710078
 
jina titus
Umri 27
elim advance secondary level
Uzoefu wa kazi miaka
uzoefu Katina nyanja
Mtunza vifaa
Mtunza fedha
msimamizi mradi
Mtunza kumbukumbu

wanajukwaa naombeni Msaada wenu wa kazi nimezunguka sana kutafuta kazi lakini sijafanikiwa na hapa nilipo nimefukuzwa kwenye nyumba sina kodi familia inanitizama
nahitaji msaada wa kazi yoyote nitafanya iwe ya juani au kwenye AC shambani au mjini
napatikana dar es salaam
mawasiliano 0657710078
 
jina titus
Umri 27
elim advance secondary level
Uzoefu wa kazi miaka
uzoefu Katina nyanja
Mtunza vifaa
Mtunza fedha
msimamizi mradi
Mtunza kumbukumbu

wanajukwaa naombeni Msaada wenu wa kazi nimezunguka sana kutafuta kazi lakini sijafanikiwa na hapa nilipo nimefukuzwa kwenye nyumba sina kodi familia inanitizama
nahitaji msaada wa kazi yoyote nitafanya iwe ya juani au kwenye AC shambani au mjini
napatikana dar es salaam
mawasiliano 0657710078
 
kwema wana jf
Nimekuja kwenu nahitaji kazi za ujenzi
Na uzoefu wa miaka 3 katika site za ujenzi miradi mikubwa na ya kati
Ujuzi wangu ni fundi chuma steel fixer
Fundi au engineer Yeyote mwenye site niko tayari kuwa msaidizi wake
Napatikana dar es salaam
Contact 0745000157
 
Habari Watanzania wenzangu.

Naitwa Titus mkazi wa Tegeta
Umri miaka 26
Uzoefu wa kazi miaka4
Nahitaji msaada wa connection ya kazi yoyote halali iwe manual au soft

Nina uzoefu katika nyanja zifuatazo:
  • Ujenzi
  • Madukani
  • Store keeper
  • Supervisor
Napatikana DSM

Mawasiliano: 0657710078
 
Kwema wana JF
Naitwa Titus
Mkazi wa Dar es Salaam

Nimekuja kwenu wanajukwaa shida yangu ni kazi hususani vibarua day work.

Nina uzoefu wa kutosha kwenye site za ujenzi nimefanya Kazi ubungo flyover Salenda bridge

Kama unakazi yako ya ujenzi wa nyumba au Kazi yoyote usisite kunipa kibarua

Au kama unaconnection ya kazi nicheck

Contact 0657710078
 
Kwema wanajukwaa natumai mko njema

Jina naitwa makolelo mkazi wa kimara

Elimu degree

Uzoefu miaka 3

Lengo la uzi huu ni kuomba nafasi ya kazi kwenye maduka yoyote Kariakoo au sehemu yoyote

Na uzoefu wa kazi ya kuuza duka la viatu

Godown personel store keeper na cashier

Au kama wewe ni winga kariakoo naomba unipokee kunionyesha njia tu

Msaada please

Mawasiliano: 0657710078
 
Habarini ndugu, naitwa Joyce, umri miaka 26, naishi kahama, elimu yangu kidato Cha nne, natafuta kazi ya kuuza duka lolote sipokuwa duka la dawa, Nina uzoefu, naomba Kwa mwenye kuhitaji msaidizi wa duka anijulishe Kwa namba 0747896275
 
Njoo Abraar Education Centre kibaha, tunahitaji mafundi ujenzi.

Kwetu hapa unaanza kwa kupata mwelekeo (orientation) wa wiki mbili kwa kua vifaa vyetu vya ujenzi ni aina ya kipekee sio kama vilivyozoeleka. Kam ni fundi ujenzi mzoefu utapata ujuzi mpya baada ya muda mchache sana(kutegemea na juhudi yako) unakua fundi kamili wa vifaa aina mpya vya ujenzi.

Pia tunachukua wanafunzi watakaopenda kujifundisha ujenzi kwa vitendo, wanaanzia kwa kujifunza kuunda vifaa vya ujenzi kwa siku mbili mpaka tatu kwa kila kifaa.

Ni mpango wa kipekee Tanzania hii, vijana changamkieni fursa.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa whatsapp 0625249605.

Abdul Ghafur

whatsapp 0625249605.
 
kwema wana jf
Nimekuja kwenu nahitaji kazi za ujenzi
Na uzoefu wa miaka 3 katika site za ujenzi miradi mikubwa na ya kati
Ujuzi wangu ni fundi chuma steel fixer
Fundi au engineer Yeyote mwenye site niko tayari kuwa msaidizi wake
Napatikana dar es salaam
Contact 0745000157
Njoo usome muongozo huku
 
Back
Top Bottom