Mimi ni binti wa miaka 24, nina degree ya Information systems Management. Natafuta kazi nina ujuzi wa computer (word, power point na excel). Mchapakazi, msikivu na ninaependa kujifunza. Utanipata kwa email hii: kimishalilian@gmail.com. Asante.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄 Hapana sitafutiMume hutafuti?
Utapata mdogo anguMimi ni binti wa miaka 24, nina degree ya Information systems Management. Natafuta kazi nina ujuzi wa computer (word, power point na excel). Mchapakazi, msikivu na ninaependa kujifunza. Utanipata kwa email hii: kimishalilian@gmail.com. Asante.
haya mie nataka mke, nipo Mwanza, nina kazi, nahitaji tu mama wa watoto, msimamizi wa familia na msaidizi wa mambo yangu ya kimaendeleo.🙄 Hapana sitafuti
Amen 🙏Utapata mdogo angu
Sorry naomba nicheki kwa email hii: kimishalilian@gmail.com pm kwangu inasumbua kutuma. AsanteOk....unaweza kuwa secretary wangu. Njoo pm mshahara tutaanza na 300k
WEWE UTAKUWA HAUMFAHAM HUYO JAMAA.Sorry naomba nicheki kwa email hii: kimishalilian@gmail.com pm kwangu inasumbua kutuma. Asante
Kumbe 🙄, AsanteTapeli huyo😂😂😂
pia nina uwezo wa kudevolop website kwa kutumia Html, CSS,JavaScript and bootstrap frame work. Graphic design nipo najifunza. Asante.Jazia nyama..
Information System Management una ujuzi wa word, excel, powerpoint pekee?
Sasa ndio mambo ga i tena haya yakupeperushiana ndege...mbona mie siwaingilii kaenye mawindo yenuWEWE UTAKUWA HAUMFAHAM HUYO JAMAA.
KUWA MAKINI,MBUSUSU ITAPIGWA VIBAYA SANA.
Safi.pia nina uwezo wa kudevolop website kwa kutumia Html, CSS,JavaScript and bootstrap frame work. Graphic design nipo najifunza. Asante.
Huyo jamaa Ana play low key Ila hayupo Kama mnavyomfikiria kuna watu nawajua kawapa pande hizo habari za mbususu anafanya funnyTapeli huyo😂😂😂
Kila la kheri Mkuu, Mungu akuongoze upate hitaji la moyo wakoMimi ni binti wa miaka 24, nina degree ya Information systems Management. Natafuta kazi nina ujuzi wa computer (word, power point na excel). Mchapakazi, msikivu na ninaependa kujifunza. Utanipata kwa email hii: kimishalilian@gmail.com. Asante.
Broo😀😄😃 umenifanya nichekeMume hutafuti?
😄😄😀😄😃😃Ok....unaweza kuwa secretary wangu. Njoo pm mshahara tutaanza na 300k
😃😃😃😃😃WEWE UTAKUWA HAUMFAHAM HUYO JAMAA.
KUWA MAKINI,MBUSUSU ITAPIGWA VIBAYA SANA.