Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tapeli huyoπππ
Kumbe lilikuwa windowπππ, Job true trueSasa ndio mambo ga i tena haya yakupeperushiana ndege...mbona mie siwaingilii kaenye mawindo yenu
Hapo sasa, hizo word, excel, power point hata singetajwa, maana ni basic computer appsJazia nyama..
Information System Management una ujuzi wa word, excel, powerpoint pekee?
Mambo mdada wa cive..
Amen πKila la kheri Mkuu, Mungu akuongoze upate hitaji la moyo wako
Nahitaji kazi yeyote legal hasa za kutype nikahisi nikiweka ivo nitaeleweka zaid. AsanteHapo sasa, hizo word, excel, power point hata singetajwa, maana ni basic computer apps
Kabisa.Hapo sasa, hizo word, excel, power point hata singetajwa, maana ni basic computer apps
Mimi mwenyewe sikumaanisha just a jokeHuyo jamaa Ana play low key Ila hayupo Kama mnavyomfikiria kuna watu nawajua kawapa pande hizo habari za mbususu anafanya funny
Thank you πAll the Best
πππ Ngoja turushe ndoano.Brooπππ umenifanya nicheke
Poa sijawlewa cive unamaana gani πMdada nimekusalimia mambo..
Ulikua cive mwaka gani...
Naona unajibu amen tyu
Hyo degree yako umesoma wapi .Poa sijawlewa cive unamaana gani π
Mkuu mbona km unamlazimisha? Hajasoma Udom.Wee binti nakuuliza kwa mara nyingine...
Au wewe ndo umesoma udomMkuu mbona km unamlazimisha? Hajasoma Udom.
Njoo tuungane tuuze simu za mkopo. Wew utakuwa front over. Kila mteja utakayampata na kumsajilia simu unapata 20k hapo hapo.Poa sijawlewa cive unamaana gani π
Hapana mkuu, nilikuwa nakuja tuu kuwinda kule Social na Humanity. Jioni narudi kulala pale CIVe kwa mshkaji wangu. Miaka hiyo.Au wewe ndo umesoma udom