startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Ungeweka na picha kujazia uzito CV 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndo mmeharibu vijana wa blok 3 na 4 hapa cive aiseeeHapana mkuu, nilikuwa nakuja tuu kuwinda kule Social na Humanity. Jioni narudi kulala pale CIVe kwa mshkaji wangu. Miaka hiyo.
Mkuu naweza pata simu ya laki usedNjoo tuungane tuuze simu za mkopo. Wew utakuwa front over. Kila mteja utakayampata na kumsajilia simu unapata 20k hapo hapo.
Unapambana atleast kila siku upate mteja mmoja
Kila la kheri Mkuu 😂😂😂😂😂😂 Ngoja turushe ndoano.
Ukija hapa Ofisi ya CHADEMA nicheki tuyajenge 😂😂😂
Mimi ni binti wa miaka 24, nina degree ya Information systems Management. Natafuta kazi nina ujuzi wa computer (word, power point na excel). Mchapakazi, msikivu na ninaependa kujifunza. Utanipata kwa email hii: kimishalilian@gmail.com. Asante.
Ardhi universityHyo degree yako umesoma wapi .
Sasa utapeli wangu ni upi? Kwani kuna mwanajf alishawahi tapeliwa na mzabza aje hapa asemeTapeli huyo😂😂😂
AMEN 🙏MWENYEZI MUNGU ASAIDIE UTAPATA
Asante 🙏Nidhamu, sala, jithamini, sala, consistence - lazima ufanikiwe
Nilikua natania mkuuu nisamehe 🙏Sasa utapeli wangu ni upi? Kwani kuna mwanajf alishawahi tapeliwa na mzabza aje hapa aseme
SawamkuuArdhi university
Information systems management CIVE haipo,, pale pana information systems huyo atakua kasoma mzumbe labdaPoa sijawlewa cive unamaana gani 😞
Ndio mkuu, nJoo PMMkuu naweza pata simu ya laki used
Hapa ndio tatizo huwa linaanzia kwa graduate wa kibongo.Sorry naomba nicheki kwa email hii: kimishalilian@gmail.com pm kwangu inasumbua kutuma. Asante
PM kwangu huwa haifunguki kabisaaa ndio maana nimeweka email. Nmefanya ivo kwasababu hakuna chaguo, usiitafsiri vibaya. Asante.Hapa ndio tatizo huwa linaanzia kwa graduate wa kibongo.
Yaani Kazi unatafuta wewe, then mtu anakuambia njoo PM, unasema yeye ndio akutafute na una miaka 24.
Kazi kweli kweli.
Ila mzabzab umeamua utumie mbinu hiyoOk....unaweza kuwa secretary wangu. Njoo pm mshahara tutaanza na 300k
Itapigwa mpaka ichakaeWEWE UTAKUWA HAUMFAHAM HUYO JAMAA.
KUWA MAKINI,MBUSUSU ITAPIGWA VIBAYA SANA.