Usisahau maombi na Sala. Mungu akutangulieWakuu natafuta kazi ya Houseboy mikoa ya Dar, Pwani au Dodoma. Nipo tayari kwa mshahara kuanzia laki 1 (malazi na chakula juu ya boss).
Kazi nazoweza kufanya usafi wote, kutunza bustani na garden, kulisha kuku au nguruwe, kuosha magari pia kuuza maduka nina uzoefu nk.
Nina umri wa miaka 25 kwa sasa. Elimu nimemaliza chuo lakini nipo tayari kufanya kazi hizo hapo juu nijitafute.
Nimetafuta kibarua tena baada ya kujiajiri mwaka jana lakini changamoto zilinipata hivyo nimejikuta kama naanza maisha upya, ni ngumu sana kuelezea hapa.
Hivyo naomba yoyote aliye tayari kunishika mkono anicheki
Asante
Maonbi na sala vya nn?. Ye apuyange tuuu, maisha hayana fomular & there no easy. Apige na kurusha viuongo vyote mana mapambano haya hauna Sheria.Usisaha maombi na Sala. Mungu akutangulie
Sawa mkuu ila kazi za chuo hizi ni ngumu nimetafuta almost 2 years nimekosaMkuu,Naomba hata kama unatafauta kazi ya Uhausi Boy Usiache kuweka Pia kwamba Chuo umesomea nini,chuo gani,mwaka gani na upo wapi.
Pia usiache kuweka skills na experiences ulizo nazo.
Kila la heri
Sawa mkuuMkuu,Naomba hata kama unatafauta kazi ya Uhausi Boy Usiache kuweka Pia kwamba Chuo umesomea nini,chuo gani,mwaka gani na upo wapi.
Pia usiache kuweka skills na experiences ulizo nazo.
Kila la heri
Sala nafanya mkuuMaonbi na sala vya nn?. Ye apuyange tuuu, maisha hayana fomular & there no easy. Apige na kurusha viuongo vyote mana mapambano haya hauna Sheria.
Wasiliana na huyu... anatafuta houseboy 0694-377424Sala nafanya mkuu
J8changanye kanisani mkuu connection zipoSala nafanya mkuu
Mkuu nimerud kijijin ase makanisa huku fursa hamnaJ8changanye kanisani mkuu connection zipo
Asante mkuuWasiliana na huyu... anatafuta houseboy 0694-377424
Mleta mada ulifanikiwa? Pole kwa changamoto!
mkuu ulipata mtuUko wapi ? Me natafuta kijana wa kukaa kwenye kiofis changu cha kuuza movies, mshahara maelewano, ofis iko Tabata chang'ombe
Pole, Upo mkoa gani?Bado sijapata mkuu ilinibid had niuze kigodoro changu nirud kijijin kwetu dah na stress had nimekata tamaa ya maisha
Nipo MoshiPole, Upo mkoa gani?
Chuo umesoma level gani km hutajali