Dah chuo gani umesoma umeandika kama unatania ukiwa na uhakikaMimi ni mtanzania mwenye diploma ya ualimu na mwenye ujuzi kamili katika Neno la Mungu na historia ya Kanisa
Naomba kazi ya uchungaji wa kondoo wa Bwana katika Kanisa lolote lenye uhitaji.
Wenu katika kazi
PS:
Nina uelewa mpana pia wa lugha ya kiengereza hivyo nipo tayari kuwaibika nje ya nchi
Kumbe ndio kilichokudanganya kutokatwa kodi iliisha mda sana siku hizi wafanya kazi wote kanisani wanakatwa kodi.Hivi unajua kuwa Kanisa ndiyo taasisi pekee yenye utajiri mkubwa usio katwa kodi?
Hayo makanisa ya kisasa yasikuchanganye sana
Nashukuru kwa hii elimuKumbe ndio kilichokudanganya kutokatwa kodi iliisha mda sana siku hizi wafanya kazi wote kanisani wanakatwa kodi
diploma ya ualimu tayari unajiona ni theologian au kwa kuwa umepewa kazi ya kuhesabu sadaka kanisani basi unajiona unaweza kuwa mchungaji.....Mimi ni mtanzania mwenye diploma ya ualimu na mwenye ujuzi kamili katika Neno la Mungu na historia ya Kanisa
Naomba kazi ya uchungaji wa kondoo wa Bwana katika Kanisa lolote lenye uhitaji.
Wenu katika kazi
PS:
Nina uelewa mpana pia wa lugha ya kiengereza hivyo nipo tayari kuwaibika nje ya nchi
Sasa uchungaji na ualimu wapi na wapi au kuna kitu unamanishaSiasomea uchungaji,nina diploma ya ualima unaoniwezesha kufundisha kuanzia awali hadi kidato cha nne
hujaelewa. ungekuwa na wito wala usingekimbilia jf kujimwambafai. ungekuwa umejificha mahali unahojiana na aliyekupa huo witoHuo mzigo mzito ndiyo mimi nautak
Sasa unataka uchungaji, kwenda nje ya nchi au kazi ya ualimu ? Nani akuachie kondoo ww ? Avata yako na uchungaji ni mbali mbali kabisa.Mimi ni mtanzania mwenye diploma ya ualimu na mwenye ujuzi kamili katika Neno la Mungu na historia ya Kanisa
Naomba kazi ya uchungaji wa kondoo wa Bwana katika Kanisa lolote lenye uhitaji.
Wenu katika kazi
PS:
Nina uelewa mpana pia wa lugha ya kiengereza hivyo nipo tayari kuwaibika nje ya nchi
Wala sijimwambafaihujaelewa. ungekuwa na wito wala usingekimbilia jf kujimwambafai. ungekuwa umejificha mahali unahojiana na aliyekupa huo wito