NGOMEKONGWE2021
JF-Expert Member
- Dec 6, 2021
- 616
- 1,225
Kwa nini tusianzishe kanisa letu ili tupige hela? mtaji wake siyo ghali sana 5m inatosha kuanzisha kanisa simple, ni maturubai, viti 100, mchanga,cement,kokoto na ..watu kama 10 wakuwatengeneza kwa ajili ya kufanyia miujiza...baada ya miezi mitatu hela inarudi unaanza kupata faidaMimi ni mtanzania mwenye diploma ya ualimu na mwviti enye ujuzi kamili katika Neno la Mungu na historia ya Kanisa
Naomba kazi ya uchungaji wa kondoo wa Bwana katika Kanisa lolote lenye uhitaji.
Wenu katika kazi
PS:
Nina uelewa mpana pia wa lugha ya kiengereza hivyo nipo tayari kuwaibika nje ya nchi