google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
Wito fanyia hapo hapo unaposali kwa sasa ili Mungu akuinue kutokea hapo, kuwa mwalimu sio kuwa mwinjilisti kama Mwakasege ww kijana acha kabisa kujifananisha na yule mtu ni Mchumi mbobezi. Nyie ndio mnaoenda kuwaka tamaa huko makanisani na kuanza ulawiti, ubakaji na uchafu.Ndani ya huduma naweza kuwa mwalimu wa neno la Mungu kama alivyo Mwakasege