Natafuta kazi ya uchungaji

Natafuta kazi ya uchungaji

 
Shida ya wabongo hatupendi kuusema ukweli ulio mbele ya macho yetu

Inachokifanya kanisa katoliki naMwamposa tofauti ni nini?

Mwamposa anakunja sadaka zote yeye mwenyewe wakati Roman Catholic wanzipeleka Roma ndo zishuke chini

Hao wote wanachukua jasho la muumini wanatofautiana matumizi tu
usiongee vitu usivyojua ni muda sasa makanisa ya wakatoliki wanajitegemea kwenye swala la mapato na matumizi yao hamna pesa inayokwenda roma ikarudi kama zamani unaonekana unaongea tu ila undani wa mambo hujui kitu jitahidi kujua upana wa dini kwanza ndio uhitaji kuwa muongoza dini

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wito fanyia hapo hapo unaposali kwa sasa ili Mungu akuinue kutokea hapo, kuwa mwalimu sio kuwa mwinjilisti kama Mwakasege ww kijana acha kabisa kujifananisha na yule mtu ni Mchumi mbobezi. Nyie ndio mnaoenda kuwaka tamaa huko makanisani na kuanza ulawiti, ubakaji na uchafu.
Nashukuru kwa ufafanuzi wako

Ondoa khofu miye siyo mlawiti,mbakai au mchafu

Rest assured
 
usiongee vitu usivyojua ni muda sasa makanisa ya wakatoliki wanajitegemea kwenye swala la mapato na matumizi yao hamna pesa inayokwenda roma ikarudi kama zamani unaonekana unaongea tu ila undani wa mambo hujui kitu jitahidi kujua upana wa dini kwanza ndio uhitaji kuwa muongoza dini

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Una uhakika mkuu?
 
Ushawona waimbaji wa makoma mkuu?
Huyo wa kwenye avatar ndiyo mmoja wa kondoo aliyiyepotea inabidi arudishwe hemani

Ebu nenda kawaangaie waimbaji wa Makoma halafu urudi hapa
Sawa baba mchungaji.
 
Mimi ni mtanzania mwenye diploma ya ualimu na mwenye ujuzi kamili katika Neno la Mungu na historia ya Kanisa

Naomba kazi ya uchungaji wa kondoo wa Bwana katika Kanisa lolote lenye uhitaji.

Wenu katika kazi

PS:
Nina uelewa mpana pia wa lugha ya kiengereza hivyo nipo tayari kuwaibika nje ya nchi

Mt 28:19 SUV​

Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu.

===============
Hubiri ufunge kanisa unaweza kuwa chini ya dhehebu unalohisi wanamuhubiri Yesu na sio mafanikio ya kidunia.

Ukiiangazia zaidi toba

Mathayo 3:2 SRUV​

Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.

Mk 8:36-37 SUV​

Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake? Ama mtu atoe nini badala ya nafsi yake?


Rum 10:15 SUV​

Tena wahubirije, wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri kama nini miguu yao wahubirio habari ya mema!


barikiwa sana mtumishi start from scratch
 

Mt 28:19 SUV​

Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu.

===============
Hubiri ufunge kanisa unaweza kuwa chini ya dhehebu unalohisi wanamuhubiri Yesu na sio mafanikio ya kidunia.

Ukiiangazia zaidi toba

Mathayo 3:2 SRUV​

Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.

Mk 8:36-37 SUV​

Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake? Ama mtu atoe nini badala ya nafsi yake?


Rum 10:15 SUV​

Tena wahubirije, wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri kama nini miguu yao wahubirio habari ya mema!


barikiwa sana mtumishi start from scratch
Hii ndiyo reply pekee tangu huu uzi umeanza ulionipa faraja

Barikiwa mkuu
 
Nenda maeneo yenye msongamano wa watu, kama stendi, au sokoni anza kukemea mapepo; wakianguka wawili au watatu; unakuwa umepata ajira, kwa kupokea sadaka
Asante kwa ushauli wako

Ila sidhani kama naweza kuutekeleza
 
Back
Top Bottom