Natafuta kijana mwenzangu tuchangie kodi ya pango wakati tuna-hustle kutafuta maisha

Natafuta kijana mwenzangu tuchangie kodi ya pango wakati tuna-hustle kutafuta maisha

Kweli kabisa ni risk lakini kwa sas naona Kama Sina option daah
Kama huwezi kuishi kivyako bora kurudi kwa wazee ukajipange upya! Yaani kuokoteza li mtu tu mtaani mkaishi pamoja? Utajuta!
 
Nilikuwa na wazo lakini kwa ulivyo mjibu jamaa umekosa busara,Mambo mengine watu wanakutega wakuone umtu wa namana gani,ungemjibu kwa busara ukute Angekuwa moja ya msaada wako.
Kaka me Niko very humble, lakin uyo brother amekuja apo juu ana ni accuse kabisa kwa matusi na maneno machafu, Kama akuwa na kitu positive cha kuchangia ci Angekaa kmya tu
 
Bora uchukue chumba chako mwenyewe tu, maana unaweza kupata mtu lakini hapo mahali kukawa ni machinjio ya mademu.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Majuu kwenyewe wanakaa wenye tabia moja mambo ya kukaa na kingese utaweza? Huyu dogo atacute room aache mambo ya kuchangia atapumuliwa.
we jamaa mbona umekazania sana mambo ya kupumuliana ndo michezo yako nini?
 
we jamaa mbona umekazania sana mambo ya kupumuliana ndo michezo yako nini?
Mjini hapa , wanaume huwa hawakai rum moja wanaume wawili mzee. Heri useme unatafuta mtu mchangie nyumba hata kama ya vyumba viwili mchangie sebule na jiko Ila kila mtu na geto yake.

Unaanzaje kulala na mwanaume mwenzio hata hamjuani na unapata usingizi kabisa???

Mambo mengine bana muwe mnajiuliza kama wanaume.
 
Hahahhaha Exile ndio kipengele manina ila nae lazma atakutwanga exile pia! Nakumbuka enzi ya chuo kuna mdau nilikuwa namgonga Exile mpaka sio poa! [emoji23][emoji23][emoji23]
Inategemea kama anajua mbinu za kum-win lomama aje mageton na kupiga show sio amlete kuangalia MamboTv

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Kama una dem apo ndio wakati muafaka wa kuanza Maisha muhustle wote
Sio mambo ya kusubiriana mpaka ufanikiwe ndio aje
 
Habari Wakuu,
Kabla ya yote naomba Nikiri kwamba Hali ya maisha imekuwa tough Sana especially kwa sisi vijana tunaohustle kuanza maisha Bila ya kuwa na blueprint ( ramani) ya kueleweka ya kutupatia regular income hapa mjini.

Binafsi ni kijana ambaye nimeamua kung'atuka nyumbani na kuja apa jijini dar es salaam kutafta michongo ya hapa na pale Kama mnavojua Wakuu ukubwa Auna kengele sometimes inabidi ufanye maamuzi ya kuanzisha maisha yako no matter what Maana Watu wanasema Kama mambo ayaendi nenda wew
Kwa sasa ni mwezi umekata na nimefikia kwa ndugu, na Kama mnavojua kuishi kwa ndugu tena vitimbi vitimbi vya hapa na pale uwa havikosekani.

Kwa heshima na tahadhima Nimeona nije hapa jukwaani Kama kuna Mtu anapitia Hali Kama yangu tuweze kuunganisha nguvu tuchangie kodi tuchukue room ya bei nafuu tusongeshe maisha kibishi uku tunafukuzia michongo na Harakat au Kama kuna Mtu labda amepanga Tayr na anaona amepwaya kidogo niweze kumuongezea nguvu nijishikize Huku nikiseti Harakat zangu, Hii ni kutokana na bajeti yangu kuwa finyu na Bado cijaielewa mitaa vizuri, kodi irange 30-40 kwa mwezi

Naomba kuwasilisha wakuu
0657288997 contact me for more info

Merci"
Vyumba vipo unakaa dar gani
 
Back
Top Bottom