Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Kabisa😂Ohoooh kwanza kijana bado anasoma,amshike sana elimu 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa😂Ohoooh kwanza kijana bado anasoma,amshike sana elimu 🤣
Ukiacha tabia ya kusuuza kikojoleo kwa mikono utapata🤣sina mchumba wadada hawapendi wakaka washamba😂
Waende kijijini kujifunza kucheza mdundiko na bao 😂We
Nae wa nchi gani mwenzetu
Mbona hivii…
Kama ndugu ni wazaramo? Warudi wapi tena?
Nimecheck hapa naona iko hivyo usemavyo lakini last time haikuwa expensiveNiliandika laki moja! Ila sioni nikipata sehemu ya maana
mnaenda Sasa kutumia pesa mulizo ibia Serikali? wakati raia wanakosa madawa nyinazitumbua sasa.Wadau anaejua hoteli au lodge nzuri ya kuchili na familia msimu wa Desemba anipe machimbo.
Price isizidi laki Kwa siku. December hii sisafiri pia hatutaki kashi kashi.
Asante.
NB. Ikiwa Dar iwe sehemu isiyo na makelele.
Hii ya 41 USD itakua mpango mzima. Ngoja nitawasiliana nao directNimecheck hapa naona iko hivyo usemavyo lakini last time haikuwa expensive
Jaribu kufanya mawasiliano na sehemu hizo maana utapata "fam rooms" kutoka na umri pia so watahitaji idadi,umri ili wafahamu wanakupa vipi kutokana na offer yao
Pia nimeangalia naona zipo nyingine lakini baadhi ya details zimefichwa so jaribu kuwasiliana nao,na nimeona firefly inacost 41 USD (2 beds in dorms) kwa 1 night.
Kwa bajeti yake Oceanic bay hapawezi
Ok,fanya utafiti sehemu tofauti pia.Hii ya 41 USD itakua mpango mzima. Ngoja nitawasiliana nao direct
Ila kuna rooms za kushare, zina zitanda viwiili ni kama 120+ hivi.Pamechangamka ukizingatia tupo mtu sita!!!
Ok,atapata msaada na mawazo mengine zaidi Ili kufanikisha lengo lake.Kwa bajeti yake Oceanic bay hapawezi
zote Chokest
Nakupa pendekezo la Baecation kwa bagamoyoNaweka kambi hapa…
Baecation
Vacation
friendcation
Ndo vitu nipendazo… 🔥🔥
Hakuna option nyingine nzuri kwa sasa?zote Chokest
Bagamoyo hamna kitu pale mzee
Watarogwaa😂😂😂Kwanini usirudi nao huko kwenu kijijini wawajue ndugu zao, ama ni nyumba za nyasi
Unapenda sana kutoa ushauri kwenye mipango ya watu. Heshimu mipango ya watu watu wa kijijini wana maisha yao na wa mjini waache waishi yao.Kwanini usirudi nao huko kwenu kijijini wawajue ndugu zao, ama ni nyumba za nyasi